Mkuu wa Kibiti
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 776
- 1,136
Umebamiza mzee,tumezidi kulalamika mpaka kwa vitu vilivyo ndani ya uwezo wetu.Barikiwa sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tuipindue nchi
Kwa hiyo kipindi Cha nabii Musa hiyo kanuni ilivokua inatumika uonevu haukuwepo na watu walikua hawaoneani?Punguza ujuaji huwezi kuwa mtaalamu wa mambo yote chagua eneo moja ndo uwe unaandika zaidi ya hapo unapotosha watuDunia inauonevu Kwa sababu kanuni ya jino Kwa jino haitumiki tena.
Na wanayoitumia ni watu werevu, wenye pesa, na wenye mamlaka.
Watu dhaifu ndio hufikiri Kama ulivyoeleza hapo
Umebamiza mzee,tumezidi kulalamika mpaka kwa vitu vilivyo ndani ya uwezo wetu.Barikiwa sana mkuu
Wewe na CCM yenu si ndo mnaamini kwamba mtaongoza milele ndo maana mnakuwa jeuri na viburiMimi sijui.
Walalamikaji kamwe hawana huo uwezo, walalamikaji siku zote huongozwa na kanuni ya unafiki, woga na majungu.
Hakuna mapinduzi yanayoweza kufanywa na watu wa Aina hiyo.
Mbona kama nawewe unalalamika?
Wewe na CCM yenu si ndo mnaamini kwamba mtaongoza milele ndo maana mnakuwa jeuri na viburi
Unawalalamikia watu wanaolalamika....waache kulalamikaNamlalamikia Nani?
Mimi nafungua nyuzi za fikra za watu
We ambaye hupo CCM mbona unalalama asubuhi yote hiiSasa nawe si ujiunge CCM ili usilalamike?
Kwa hiyo kipindi Cha nabii Musa hiyo kanuni ilivokua inatumika uonevu haukuwepo na watu walikua hawaoneani?Punguza ujuaji huwezi kuwa mtaalamu wa mambo yote chagua eneo moja ndo uwe unaandika zaidi ya hapo unapotosha watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawalalamikia watu wanaolalamika....waache kulalamika
Sasa
We ambaye hupo CCM mbona unalalama asubuhi yote hii
Sasa
We ambaye hupo CCM mbona unalalama asubuhi yote hii
Uzi wenyewe umekaa kilalamishi😃
Ndo maana ukiambiwa wewe kiazi unalalamika!!!Chisano embu kunywa chai Kwanza.
Babu sio siri hii tabia inakera kinoma,alafu kulalamika kunanpunguza sana baraka