Haha ,wala hakua mtu muhimu sana kwangu , ni wale mnakutana juu kwa juu tu, siku moja anaamua akulipue kizinga na unaona poa leo ngoja nitoe sadaka kwa mwana.Na mahusiano yetu yakaishia hapo.
Ndivyo ilivyo dear, hivi vitu vinaenda sambamba kabisaa!Hii tabia alikuwa nayo mamsap alikuwa ananikera kishenzi. Vocha umtumie ila kusema asante ni mtihani...nikapambana nae akabadilika kidogo ila still ni mzito wa kutoa feedback.
Af nahisi kuna uhusiano wa karibu baina ya asante na samahani.Mtu ambaye ni mzito kusema asante hata kusema samahani pia ni mzito!
Its too painful aisee, naumiaga sana nikiona hali hio! Ila utasema mtu anakwambia nimejisahau looh.Ndivyo ilivyo dear, hivi vitu vinaenda sambamba kabisaa!
Ni kuishi nao jinsi walivyo japo inaumizaIts too painful aisee, naumiaga sana nikiona hali hio! Ila utasema mtu anakwambia nimejisahau looh.
Kwani simu yako haikuambii kuwa uliyemtumia imefika?
Hamna jinsi yaniNi kuishi nao jinsi walivyo japo inaumiza
Mimi huwa napenda mwanamke aseme nikopeshe pesa, unamkopa ukijua hatolipa ila atakupunguzia mzigo wa kuomba pesa kila anapojisikia
Kudaiwa kubaya
It is never too late to begin. Start now
Mkope ili aone aibu kukuomba tena
It is never too late to begin. Start now
What a response! Asante Ulweso!!Kama buku tano ndogo kwanini usiitafute mwenyewe kwa jasho lako beba tofari ponda kokoto utaipata au tembeza hata njegere huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliyemtumia ka hela kako halafu akakaa kimyayupi huyo?