T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Kwa kweli ni tabia mbaya sana na binafsi siipendi...
Wakati anaomba huwa wanasumbua sana na kukumbusha mara kwa mara nitumie
Ukishatuma tu hata akhsante kwa baadhi hawasemi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anaomba huwa wanasumbua sana na kukumbusha mara kwa mara nitumie
Ukishatuma tu hata akhsante kwa baadhi hawasemi.
Sent using Jamii Forums mobile app