Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,382
- 1,881
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi naelewa wew ulieyemtumia ndo unatakiwa kupiga simu kuulizia kama muamala umemfikia sababu unaweza kujaa povu kumbe text haijamfikia au hana hata hiyo vocha ya kukupigia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliongea mpoki kwamba wanaume waache kuuliza uliza Kama hela imefika,Tatizo mnakera mno ,unakuta mtu namba yako anaifahamu , majina yako unayotumia anayajua yote
Bado akituma hata dk kadhaa hazijapita anauliza umepata? Agrrr mnakera
Mkuu hujanielewa ama sijaeleweka vzr nilichomaanisha wewe ukishatuma huna haja yakunipigia wajibu wa kupiga na kushukuru unapaki kwanguUtetezi wa kitoto sana huu.
Kwa mantiki hii unaweza kupoteza fedha nyingi sana kwa uzembe, nakusimulia kisa kimoja utajifunza umuhimu wa kumjulisha mtumaji kwamba pesa imefika.
Siku moja nikiwa nafanya transaction ya laki 3 kwenda kwa jamaa yangu aninunulie kitu flani hapo kwa Makonda, tulisha chat WhatsApp tukakubaliana fresh, sasa wakati nataka kutuma nikampigia simu, yeye tayari yuko K/Koo anasubiri pesa iingie atoe, nikamuuliza nitume namba ipi maana ana namba nyingi na zote zimesajiliwa akanitajia.
Nikatuma, kumbe kwa bahati mbaya ile namba ilikua imepotea ina mwezi mzima na hajairudisha sasa alisahau kuniambia, nimetuma pesa nimekaa nusu saa nikampigia kujua kama ameshanunua mzigo anasema bado hajapata muamala, nikascreenshot ile msg nikatuma WhatsApp lakini kwake haijafika, sasa tumelumbana sana baada ya muda akabaini namba niliyotuma pesa ilishapotea.
Kwahiyo nikaenda Tigo pesa kushughulikia pesa irudi sikutaka kusubiri yale masaa 24 kutokana na kubanwa na shida niliyokuwa nayo.
Sasa kwa mfano ningekaa kimya je huyo jamaa angeendelea kusubiri kwa muda gani? Pamoja na kwamba jina lilitoka jina lake.
Muungwana ukitumiwa pesa toa mrejesho, maana mtu anaweza kutuma kupitia wakala sasa yuko dukani anasubiri umjibu we unakausha, na kuna wakati mwingine miamala huwa inafeli sasa kutoa mrejesho ni muhimu. Hicho ni kitendo cha uungwana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwnyw Kuna fala Jana kalia Lia nmemuwekea Ela,Kuna mbwea mmoja jana kaniomba ela nimemtumia kias alichokua anahitaji mpk sasa yuko kimya namsubri tena
Sent using Jamii Forums mobile app
😊😊Pole sana mkuu kwa hilo ila usikate tamaa ya kutuma, wewe tuma tu
Kweli kabisa ,Aliongea mpoki kwamba wanaume waache kuuliza uliza Kama hela imefika,
Kwani hawaoni msg ya muamala?
Eti wanauliza maswali mengi kuliko hata hela yenyewe waliyotuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅 jamani poleni nitawapa habari kuwa wanasubiriwa msikate tamaa kazi yenu nzuri inaonekata na mpate mafanikio nas.....Mi mwnyw Kuna fala Jana kalia Lia nmemuwekea Ela,
Hata kusema imefika au Asante imemshinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nikimtumia mtu na nikiwa na uhakika wa muamala , sishughuliki nae tenaUsijiweke kwenye kundi la kutumiwa tu
Wewe fikiria umemtumia mtu pesa anyamaze asitoe taarfa utajisikiaje?
Mpoki anasema"mwanaume tuma hela halafu kausha,sio unapigapiga simu kuuliza..kwani hujaiona message"Kweli kabisa ,
Wajifunze uvumilivu
Huwezi jua ana shughuli gani kwa muda huo.Usijiweke kwenye kundi la kutumiwa tu
Wewe fikiria umemtumia mtu pesa anyamaze asitoe taarfa utajisikiaje?
Unakula pozi kutuma ka message kwamba umepata?Tatizo mnakera mno ,unakuta mtu namba yako anaifahamu , majina yako unayotumia anayajua yote
Bado akituma hata dk kadhaa hazijapita anauliza umepata? Agrrr mnakera
Kweli kabisa mkuu, muhimu uhakika wa muamala wako unakoendaNi human nature lakini mm huwa siulizagi kama umepata au hujapata kitu muhimu ni jina lake tu lahuko napotuma.
Mimi hata nikituma hela kupitia kwa wakala,nitaangalia message palepale kwa wakala Kama imefika.Mkuu mimi nikimtumia mtu na nikiwa na uhakika wa muamala , sishughuliki nae tena
Kwa sababu najua kwa muda wake akiiona atanijulisha
Pole sana mkuu, halafu sio kila pesa inaombwa wengine hutuma kama wajibuUnakula pozi kutuma ka message kwamba umepata?
Wakati unaomba, inatuma mimeseji hadi kero. Mara salamu, mara umekula na upuuzi wote wa Dunia hii. Ukishapata unakula pozi kwanza.
Its very comforting kwa mtumaji kusikia neno asante.Pole sana mkuu, halafu sio kila pesa inaombwa wengine hutuma kama wajibu
Shida hawaelewi kwamba ukishatuma basi kazi yako imeisha. Kuuliza ni kama kufosi vitu .Mimi hata nikituma hela kupitia kwa wakala,nitaangalia message palepale kwa wakala Kama imefika.
Wala sijipi kazi kuanza kumuuliza niliyemtumia Kama amepata au hajapata.
Sent using Jamii Forums mobile app