Tabia ya kutembeza wageni kwenye nyumba mpya!

Tabia ya kutembeza wageni kwenye nyumba mpya!

Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Mkuu unampangia mtu cha kufanya na nyumba yake?
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebureni

Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Unapewa perdiem na ofisi
Unaenda kufikia kwa rafiki,hizo ndio changamoto zake,
Hata kama hujapewa perdiem, sio sawa kufikia kwa watu,ikiwa umeenda kikazi
 
Unapewa perdiem na ofisi
Unaenda kufikia kwa rafiki,hizo ndio changamoto zake,
Hata kama hujapewa perdiem, sio sawa kufikia kwa watu,ikiwa umeenda kikazi
Alafu analalamika kama ni haki yake, huyu ni ile aina ya wageni anafikia Kwa mtu alafu anapewa chumba cha kulala akiamka asubuhi akitoka anafunga room anaondoka na funguo kama kwake wakati kuishi kwa mtu Kuna kanuni zake ambapo mojawapo ni kuacha privacy yako Kwa mwenyeji wako
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Acha gubu kama la Makonda
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Umesafiri kikazi
Umelipwa allowance
Unakwenda kuwa mtumwa
Unataka kumpangia maisha aliyekuhifadhi kwasababu ya ubahili wa kukaa lodge
Mtumishi/mfanyakazi kaa lodge au hotel ili uwe na peace of mind usije ukaharibu kazi kwasababu ya stress
 
Anashangaa kama mtalii tu
kweli mkuu wahaya unatujua vizuri hii ni tabia ya wahaya wengi. nina shemeji yangu mke wa bro wangu mkubwa ana nyumba kibao hapa dar anazipangisha. nawaonea huruma wapangaji wake maana ana tabia kisa nyumba zake anaweza kuja na mtu ukashangaa anapaki gari anamwingiza nyumbani kwako jikoni, chooni vyumbani eti anamtembeza.
sijui hajawahi kupata mtu wa kumzingua. halafu wakati mwingine unaweza kuwa unamwonyesha mtu vitu ambavyo kwake ni kawaida tu wewe upo tu unajisifu. sema sifa fani yetu mtuvumiliage tu.
 
Anatembezwa ajionee maajabu ya ujenzi.
It’s a way ya mwenye nyumba kujitukuza.
Nadhani mtazamo wako si sahihi! Mara nyingi, marafiki hupenda kuappriciate kitu mwenzake amefanya ili nao wajitahidi. Aidha wakati ukiwa unajenga, rafiki wa ukweli atakuonesha penye tatizo ili marekebisho yafanyike kabla mambo hayajaenda mrama. Fıkra Chanya muhimu hata kwa Kapeace
 
kweli mkuu wahaya unatujua vizuri hii ni tabia ya wahaya wengi. nina shemeji yangu mke wa bro wangu mkubwa ana nyumba kibao hapa dar anazipangisha. nawaonea huruma wapangaji wake maana ana tabia kisa nyumba zake anaweza kuja na mtu ukashangaa anapaki gari anamwingiza nyumbani kwako jikoni, chooni vyumbani eti anamtembeza.
sijui hajawahi kupata mtu wa kumzingua. halafu wakati mwingine unaweza kuwa unamwonyesha mtu vitu ambavyo kwake ni kawaida tu wewe upo tu unajisifu. sema sifa fani yetu mtuvumiliage tu.
😂😂😂ni ulimbukeni tu unawasumbua
 
Nadhani mtazamo wako si sahihi! Mara nyingi, marafiki hupenda kuappriciate kitu mwenzake amefanya ili nao wajitahidi. Aidha wakati ukiwa unajenga, rafiki wa ukweli atakuonesha penye tatizo ili marekebisho yafanyike kabla mambo hayajaenda mrama. Fıkra Chanya muhimu hata kwa Kapeace
Hadi chooni? Unamzungusha akague nyumba ye ni injinia kwani acheni ushamba nyie watu
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Jenga yako kwanza
 
Back
Top Bottom