Tabia ya kutembeza wageni kwenye nyumba mpya!

Tabia ya kutembeza wageni kwenye nyumba mpya!

Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Umefundishwa jinsi ya kuwa na personal hygiene. Inaonesha wewe ni mchafu, chumba hudeki, kitanda hutandiki, miswaki unaacha bafuni😂
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Mpaka hapo mshamba ni wewe uliyeacha chumba chako shagarabagara!
 
Na kwanini ufikie Kwa mtu mkuu, je kama ni mbinu ya kukukera ili siku nyingine ujue kwamba kazi ya perdiem unayopewa ni ya kukuwezesha kumudu gharama za chakula, malazi na mengineyo uwapo nje ya kituo chako cha kazi na kiukweli AMEFANIKIWA KUKUTIBUA ni sawa na vijana wa ovyo wakimchoka msela anashinda ghetto huwa anamleta mrembo wake anakaa zaidi ya wiki lazima mtu aanzishe
Hii ilinikuta kipindi napambania maisha nikiwa gheto kwa jaamaa, aisee nimekumbuka mbali miaka 10 sasa
 
Hiyo tabia wengi wanayo, Kuna jamaa yangu alijenga nyumba nzuri tu akanikaribisha, nilipofika alikua ananitembeza kila chumba na maelezo juu hadi nikawa naona aibu, nilimuona miyeyusho sana Ila kumwambia sikuweza
Wanazingua sana Kuna ndugu yangu alikuwa na hiyo tabia ya kuwatembeza rafiki zake kwenye nyumba yake mpya, mama yake akamkataza ikawa mwisho kufanya hivyo
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Mimi nilishaweka utratibu kitambo nikisafiri nalala loji, ndugu nitawatembelea na kuondoka.

Mambo za kwenda kubanana majumbani kwa watu sitaki kusikia.
 
Nimekuja hapa mkoani kikazi. Sasa nimefikia kwa rafiki yangu ambaye ana wiki tangu ahamie kwenye nyumba mpya.
Sasa nilienda matembezini narudi nakuta chumba kimesafishwa, kitanda kimetandikwa, miswaki imeondolewa bafuni na kufungiwa kwenye kabati kisa tu wageni wazungushwe vyumbani.
Kimsingi nime mind na ninafanya juu chini kuondoka hapa fasta.
Huu ni ushamba uliopitiliza.
Kwa nini wageni wasizungushwe kabla hatujahamia au waishie sebuleni!
Jenga yako na wewe ufanye unavyotaka, au fikia hoteli.

Ukifikia kwa mtu, usimpangie cha kufanya kwenye nyumba yake.

Hapo wewe ndiye umemuingilia mtu kwenye nyumba yake, halafu unalalamika tena?
 
Back
Top Bottom