Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

2004boy

Member
Joined
Jul 23, 2024
Posts
53
Reaction score
89
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Mtongoze anafaa kwa matumizi
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Saikolojia inawatesa hao.

Hata mimi nikimsorolea msichana kumtongoza kisha ajibaraguze na 'shikamoo' yake, lazima nitamuuliza, 'unaniamkia shikamoo unataka kuninyima nini? '

Shikamoo inamaanisha 'nakuheshimu jiheshimu'
 
Back
Top Bottom