Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

Ila hii tabia haijaanza leo, ni ya kitambo sana, nakumbuka kipindi nipo primary kuna mzee ana mvi kabisa zimejaa kichwani ila anaonekana ni wazee wa mjini kwa mambo yake...

Kila siku nilikua napita hapo kwake kuelekea shule ilikua nikimsalimia shikamoo anajibu salama mjukuu wangu, hajawahi kuitikia marahaba hadi nikaachaga kumsalimia, nikimkuta nje kwake nampita maana nilianza kumtilia shaka.
 
Wazungu hawana Shikamoo ,wana Good morning ,After noon and Good Evening.

Shikamoo ni Utumwa -Ilitumiwa na waarabu enzi za biashara ya Utumwa.

Wewe ukikutana nao sema tu Hi au Hello au How you doin'? au Morning basiii hayo mambo ya shikamoo peleka UAE(Uarabuni).
 
Kuna mama mmoja alikuwa mtu mzima sema ana mambo ya ujana sana ... Watoto wakimsalimia anakausha na kwa upanda wa vijana kabla hujamsalimia anakuwahi kwa kuanza kukusalimia.

Mungu si mchoyo binti yake akabeba ujauzito na sasa ana mtoto anaitwa Bibi .. Yale madoido yote kapuni na sasa analea mjukuu baada ya mtoto kumtelekeza mtoto.

Salamu na heshima haiombwa wala kulazimishwa bali ni kipimo cha utu.
 
Ila hii tabia haijaanza leo, ni ya kitambo sana, nakumbuka kipindi nipo primary kuna mzee ana mvi kabisa zimejaa kichwani ila anaonekana ni wazee wa mjini kwa mambo yake...

Kila siku nilikua napita hapo kwake kuelekea shule ilikua nikimsalimia shikamoo anajibu salama mjukuu wangu, hajawahi kuitikia marahaba hadi nikaachaga kumsalimia, nikimkuta nje kwake nampita maana nilianza kumtilia shaka.
mimi nasemaga 'shkaoo' ya chapu chapu ukijisumbua kuitika shauri yako nishafika mita 100 mbele
 
Kuna mama mmoja alikuwa mtu mzima sema ana mambo ya ujana sana ... Watoto wakimsalimia anakausha na kwa upanda wa vijana kabla hujamsalimia anakuwahi kwa kuanza kukusalimia.

Mungu si mchoyo binti yake akabeba ujauzito na sasa ana mtoto anaitwa Bibi .. Yale madoido yote kapuni na sasa analea mjukuu baada ya mtoto kumtelekeza mtoto.

Salamu na heshima haiombwa wala kulazimishwa bali ni kipimo cha utu.
Unataka kusema nini mkuu si unyooshe maelezo

Kwahiyo usipoitikia salamu mtoto wako atazalishwa nje ya ndoa?

Kama akili yako ndo hiyo CCM watashindwa kweli kukurubuni?
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Hatutaki, msitulazimishe kufanya vitu ambavyo hatupendi......
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
= mnafikiria

Hivi hizo shule mlienda kusomea jinga?
 
Back
Top Bottom