🤣🤣🤣mimi nasemaga 'shkaoo' ya chapu chapu ukijisumbua kuitika shauri yako nishafika mita 100 mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣mimi nasemaga 'shkaoo' ya chapu chapu ukijisumbua kuitika shauri yako nishafika mita 100 mbele
Uongo, sisi tunachukia kuamkiwa habari. Tunapenda ShikamooHata wababa wengi hawapendi shikamoo, watu hawataki uzee
Sio wababa wa Dar, wanapenda ujana wakati wamezeekaUongo, sisi tunachukia kuamkiwa habari. Tunapenda Shikamoo
Salami haigombi.....Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Ukihitajika utaitwa mkuuNaomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Ukiona hawaitikii salamu ipasavyo fahamu kwamba uchumi wako hauridhishi mbele yao tafuta ela salamu utaziona upepo kila konaNaomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Kumbe! Ndo maana Mnasalimia Habari kama mnachunga mbuzi woteSio wababa wa Dar, wanapenda ujana wakati wamezeeka