Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

Tabia ya ovyo watu wazima kutoitikia salamu ipasavyo za wanaowazidi umri

Kwa uelewa wangu mie wanawake wengi hawanaga shida kupewa shikamoo na wadogo zao,inawezekana wewe unawaamkia watu wa umri wako/rika lako.
Sio rika langu ni wanalingana naa yangu.
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Salami haigombi.....
 
Shikamoo- niko chini ya miguu yako.!
Mimi napenda kusalimia “Za saa hizi” nimemaliza kuna mibabu haitaki uzee
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Ukihitajika utaitwa mkuu
 
Nini maana ya Shikamoo ? (Nipo chini ya miguu yako / nashika miguu yako)
 
Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?

Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Ukiona hawaitikii salamu ipasavyo fahamu kwamba uchumi wako hauridhishi mbele yao tafuta ela salamu utaziona upepo kila kona
 
Back
Top Bottom