Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Marahaba hujambo mremboShikamoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba hujambo mremboShikamoo
mtoto wa 2004 embu Pambana na shule achana na mijimamaNaomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Hakutuma maombi?Ila hii tabia haijaanza leo, ni ya kitambo sana, nakumbuka kipindi nipo primary kuna mzee ana mvi kabisa zimejaa kichwani ila anaonekana ni wazee wa mjini kwa mambo yake...
Kila siku nilikua napita hapo kwake kuelekea shule ilikua nikimsalimia shikamoo anajibu salama mjukuu wangu, hajawahi kuitikia marahaba hadi nikaachaga kumsalimia, nikimkuta nje kwake nampita maana nilianza kumtilia shaka.
Shikamoo ni salamu ya kitumwa.Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Hahaa hapana, sikumpa hiyo chanceHakutuma maombi?
Maana wazee wa hivyo wapo sana.Hahaa hapana, sikumpa hiyo chance
Wanazingua mnoMaana wazee wa hivyo wapo sana.
Hivi shikamoo ndio salamu ya heshima kumbe!
Naona shabiki wa BICHWA KOMWE - upo jobShkamoo mwisho CHALINZE.
Mjini kila mtu DADDY.
Mambo DADDY...👌Naomba Kinyeo.
Cc Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania Extrovert dronedrake The Stress Challengerr Mufti kuku The Infinity Lamomy
Nisitukane mamba na sijavuka mto, sitii neno hapo 😂Wanazingua mno
Una mpango wa kuwa mzee wa hovyo na wewe eeh🤣🤣Nisitukane mamba na sijavuka mto, sitii neno hapo 😂
Sijafika uzeeni bado ila sijioni huko, labda, huenda, au sio hivyo, sijui.Una mpango wa kuwa mzee wa hovyo na wewe eeh🤣🤣
Weweeee nakuzoom ohooo😂😂Sijafika uzeeni bado ila sijioni huko, labda, huenda, au sio hivyo, sijui.
Sitofikia hatua hiyo japo salam nishaanza kuziignore.Weweeee nakuzoom ohooo😂😂
Kwa uelewa wangu mie wanawake wengi hawanaga shida kupewa shikamoo na wadogo zao,inawezekana wewe unawaamkia watu wa umri wako/rika lako.Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Kuzeeka no uzee mwisho chalinze
Unanisamilia unataka kuninyima nini?