Mtongoze anafaa kwa matumiziNaomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Unanisamilia unataka kuninyima nini?Hata wababa wengi hawapendi shikamoo, watu hawataki uzee
Mwenyewe sitaki kusalimiwa hata kama ni mshangazi, mambo inatoshaUnanisamilia unataka kuninyima nini?
Kuzeeka no uzee mwisho chalinzeHata wababa wengi hawapendi shikamoo, watu hawataki uzee
Ndio ndioooKuzeeka no uzee mwisho chalinze
Mambo BibieMwenyewe sitaki kusalimiwa hata kama ni mshangazi, mambo inatosha
Tena wa 2000Ndio ndiooo
Mjini wote vijana bana
wewe ndio safi, wengine ukiwaambia dada habari wanajibu kaka tafadhali hii ngoma ya ghali 😂Mwenyewe sitaki kusalimiwa hata kama ni mshangazi, mambo inatosha
Kula mpoonzo
Saikolojia inawatesa hao.Naomba niulize swali kwa watu wazima hasa wanawake. Hivi huwa mnafikilia nini unaposalimiwa na mtu unayemzidi umri mpaka mnashindwa kuitikia?
Unakuta mama mzima analingana na mama yako au zaidi ukimwamkia shikamoo anakujibu Safi kama vile mnalingana. Ni nini hasa kinachopelekea msikubali kusalimiwa na wadogo zenu na watoto wenu? Nawasilisha
Poa kakaMambo Bibie
Si ndioTena wa 2000