Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

Hakuna siku za juma zile 7 hakuna mtu hawi kwenye ibada , labda kama unataka wakupendelee wewe , Uzi wako unatakiwa usomeke mnipendelee siku ya jumamosi, na tunaweza kukupendelea na jumamosi tukaibadilia jina ikawa ijumaa
Jibu hoja ya mto thread acha kujibu kwa short cut unaonekana una mawazo mepesi sana na uwezo mdogo wa kufikili yaani maelezo ya mtoa hoja huoni logic kabisa! Da kweli Elimu yetu iko chini sana. Pole sana kwa kuandikia ujinga
 
Mademu jumamosi mnatongoza lakini kufanya interview ni issue au sio?
Jibu la kipuuzi kweli, kuna watu humu wanapaswa kufukuzwa jamiiforums maana tuna wajinga wengi! jibu hoja acha kutoa majibu mepesi wengine hapa tunakuona kichwa chako kimejaa ujinga. jibu hoja bro tuone uwezo wako wa kuchambua mambo hatutaki majibu ya kijinga
 
Niliwahi kulianzishia uzi pia hili suala, ni jambo linaloleta ubaguzi sana na kuwaminya watu wengine fursa za ajira kwanini huo usaili usiwekwe siku za kazi iwe jumamosi tu kila siku?


Uhuru wa Kuabudu na Usaili Kufanyika Siku za Ibada
 
Jibu la kipuuzi kweli, kuna watu humu wanapaswa kufukuzwa jamiiforums maana tuna wajinga wengi! jibu hoja acha kutoa majibu mepesi wengine hapa tunakuona kichwa chako kimejaa ujinga. jibu hoja bro tuone uwezo wako wa kuchambua mambo hatutaki majibu ya kijinga
Mbona nimejibu hoja mkuu? Wasabato nimeishi nao sana ukiwafuatisha hakuna kitu utafanya.
 
Kwamba ukikosa ibada siku moja kwa ajili ya jambo muhimu la dharura ni kumkosea Mungu? Wewe ni msomi mkuu,acha uumini wa kishamba. Mimi nimewahi kufanya interview jumapili na Jumamosi...unafikiri hiyo itanipeleka motoni?
 
Kumezuka tabia ya baadhi ya Waajiri ikiwemo Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili siku za Jumamosi ( hususani Usaili wa Mchujo).

Kitendo hiki ni Kinatafsiriwa kama Ubaguzi (Discrimination) kwa waumini wa Kanisa la Waadvetista Wasabato ambao Jumamosi ni siku ya Ibada therefore, by doing so, their opportunity in employment is nullified and impaired. Naomba nieleze kidogo swala ya ubaguzi katika ajira katika tafsiri ya Kisheria kwa ufahamu wangu mdogo nilionao.

Article Na.1 of the Decrimination (Employment and Occupation) Conventions, 1958 which then rectified by Tanzania ni 2002, this practice can be termed as Employment/ occupational Discrimination so “Any distintion, exclusion on preference made on basis of race, sex, colour, religion, political opinion, national extraction or social origin, which has the effect of nullifying or impairing equality of opportunity or treatment in employment or occupation”. Meanwhile, discrimination employment and occupation is not allowed under Section 7 (4) of Employment and Labour Relation Act No.6 /2004 as follows

“No employer shall discriminate, direct or indirectly against an employee in any employment policy or practice or any of the following grounds; colour, nationality, tribe or place of origin, race, natural extraction, social origin, political opinion or region, sex ,gender, pregnancy, marital status or family responsibility, disability, HIV/AIDS, Age or station of Life”

According to Section 7(9) of of Employment and Labour Relation Act No.6 /2004

“An “employment policy or practice “ includes any policy or practice relating to recruitment procedures, advertising and selection criteria appointment and appointment process, job classification and grading, renumeration, employment benefits and terms and conditions of employment, job assignments, the working environment and facilities, training and development, performance evaluation systems, promotion, transfer, demotion, termination of employment and disciplinary measures”

Kwa msingi wa maelezo hayo ya Kisheria, kwa heshima kubwa, naomba Sekretarieti ya Ajira ifikirie upya na kusitisha mara moja tabia ya kupanga usali siku za mapumziko ya mwisho wa juma (Weekends) ikijumuisha Jumamosi ili kuwa na mchakato wa ajira usiokuwa na ubaguzi. Aidha, nawashauri wafanye utafiti kwa njia ya maoni wa sababu zinazofanya baadhi ya Waombaji wa kazi kutohuduria Interview wanaweza kupata sababu nzuri za kuboresha mchakato huo.

Nina imani ombi litaapokelewa ili kuwapa Haki sawa wale ambao Jumamosi ni siku yao rasmi ya Ibada.

Nawasilisha kwa ajili ya maoni na ushauri
Nenda kanisani kazi na usaili achana nao
 
Jibu hoja ya mto thread acha kujibu kwa short cut unaonekana una mawazo mepesi sana na uwezo mdogo wa kufikili yaani maelezo ya mtoa hoja huoni logic kabisa! Da kweli Elimu yetu iko chini sana. Pole sana kwa kuandikia ujinga
Unajua Kuna siku ya kuabudia na serekali imeifanya ni siku ya kazi kabisa , sasa wewe unataka logic gani kwa mtoa mada siku moja tu kwa watu wachache ndio tubadili?
 
Huo usahili ni siku moja tuu na ni kwa dakika chache sana kama unajali future yako wala sio jambo baya muhimu ni kumuomba Mungu tuu akusaidie ufaulu.

Je, mifugo yako nayo huwa hauifungulii au kuilisha siku ya Jumamosi? Yule anayeiangalia/kuilisha huwa hafanyi kazi?

Hapana jitoe kwa muda mfupi tuu, kwa manufaa ya baadae.
 
Unajisumbua kuleta hoja hii hapa, majibu ya watu wanaosnesha hakuna anaejali sana sana wanajibu kwa kejeli, lakini siyo haki kuwatendea hivyo kutokana imani yao. Serikali inapaswa kuheshimu imani ya kila Mtanzania hata wanaoamini usabato ni watanzania kama wengine na wanahaki kama nyie mnao kejeli hapa. Usaili ni sehemu ya kazi hivyo ni bora ufanyika siku za kazi na zisiwe za ibada za watu na hata ijumaa hakuna haja ya kufanya hivyo kuna jumatatu mpaka alhamis haiingiliani na imani ya mtu. Kazi inayofanyika ni sehemu ya kazi na kuwaumizia wengine siyo haki.
MFANO UKAPATA HIYO KAZI, NA UKAAMBIWA UENDE UKA SIGN MKATABA J.MOSI UTAENDA HUENDI??

THN ILI USIKWAZIKE NA IMANI YAKO KUJIAJIRI NDIO BEST OPTION, CZ KUAJIRIWA UNAWEZA AMBIWA UENDE J.MOSI KUFANYA KAZI, LET SAY HAKUNA WANAJESHO, POLICE , DOCTORS AU MANESI WASABATO??? HAWA KAZI NI SIKU 7 ZA WEEK JE HAO SIO WASABATO SANA?
 
Unajisumbua kuleta hoja hii hapa, majibu ya watu wanaosnesha hakuna anaejali sana sana wanajibu kwa kejeli, lakini siyo haki kuwatendea hivyo kutokana imani yao. Serikali inapaswa kuheshimu imani ya kila Mtanzania hata wanaoamini usabato ni watanzania kama wengine na wanahaki kama nyie mnao kejeli hapa. Usaili ni sehemu ya kazi hivyo ni bora ufanyika siku za kazi na zisiwe za ibada za watu na hata ijumaa hakuna haja ya kufanya hivyo kuna jumatatu mpaka alhamis haiingiliani na imani ya mtu. Kazi inayofanyika ni sehemu ya kazi na kuwaumizia wengine siyo haki.
Siku za kazi pia ni shida maana wanaofanya interview na wanaoendesha interview wengine ni wasjiriwa Wana majukumu mengine. Binafsi wasabato hata wakipata kazi ,jumamosi kwao ni shida
 
Back
Top Bottom