Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

Mimi nakushauri iwe wewe ushauri hizo interview zifanyike siku ya ijumaa, kwa maana hawa Waislamu hawalalamiki kwa nini ijumaa ni siku ya majumuhisho ya ibada zao za wiki nzima lakini na ni siku ya kazi pia ...?

Lakini pia hilo wazo wewe sio mtu wa kwanza, nakumbuka Magufuli alibadilisha siku ya uchaguzi kutoka siku ya jumapili ambayo ulikuwa unafanyika kila mwaka wa uchaguzi kabla ya yeye kuwa Rais, mwaka 2020 akasema uchaguzi ufanyike siku ya jumatano ili jumapili wakristo waende kanisani.

Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, BW Mkapa hata Dr. Kikwete hili hawakuliona, na watu walikaa kimya na kumpongeza Dr. Magufuli kwa alichokifanya cha kubadili siku ya uchaguzi, ila wasiwasi jambo kama lile lingefanywa na mtu kama Kikwete la kwasema siku ya ijumaa ni siku kuu ya ibada kwa Waislamu, watu waende makazini hadi saa 11 : 45 am kisha waende misikitini na saa 01 : 15 pm warudi maofisini ingekuwa ajenda kubwa sana sana.
 
Yani understanding yangu iwe ndogo kwa hoja yako yako ya jumamosi ...[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yani understanding yangu iwe ndogo kwa hoja yako yako ya jumamosi ...[emoji16][emoji16][emoji16]
No the way ulivyo argue ndiyo nimekudharau kabisaaaa siyo sababu ya jumamosi na hata sasa huelewi nilicho andika you are in a very sorry condition🤣🤣 kweli wewe ni Mr. Njaa, it seems ni njaa ya uelewa wa maswala
 
Soma tena na tena utaelewa,usipoelewa omba msaada kwa mumeo/mkeo au majirani.
sihitaji kusoma maandishi ya mtu mjinga na mwenye akili ndogo kama wewe. Una uelewa hafifu sana na wala sijibizani tena na mtu mjinga!
 
Mtoa mada umeleta hoja nzuri sana lakini sasa shida ipo kwenye kuiweka kwenye uhalisia, waliondaa usaili uwe jmosi wana sababu zao mfao suala Zima la maslai coz j3 adi ijimaa watakwambia kuna ugumu wa kuweka usaili watasema jmoc kwanza suala zima la maslai wanapata overtime kingine kumbi nyingi ni za vyuoni so kupata nafasi siku za kawaida coz wanafunzi wanatumia mda wingi kwa iyo wakaona jmc imekaa vyema kwa zoezi kwa ujumla alafu kitu kingine kwa wasailiwa sasa asilimia kubwa wengi wanaofanya interview ni wafanyakz so wengi upenda siku ya jmoc coz inakuwa rahisi ata kwa kusafir kwa iyo kuweka siku tofaut na jmoc sjui embu ngoja tuone labda utumishi wataona watafanyia kazi
 
Me natamani kuwa msabato kwasababu mahubiri yenu linapofika swala la sabato ata ukiwa nadharura duh hapo pananishinda.


Kuna uhakika gani sabato ni siku ya jumamosi?
 
Utumishi hawana venue binafsi kwa ajili ya kufanyisha watu interview hasa watu wanapokua wengi ndo maana siku za weekend zinatumika maana wanaomba madarasa kutoka sehemu mbalimbali hasa vyuoni ambapo madarasa hutumiwa na wanafunzi Siku za kazi
 
Weekdays watumishi wanakua kwenye majukumu yao ya kiofisi so jmosi ndio siku sahihi
Watumishi wanaoendesha usahili ni kazi yao weekdays na watahiniwa wengi wanaotafuta siyo watumishi
 
JUmamosi ni rahis kupta kumbi mbali mbali za kuendeshea usaili. Katikat ya wiki uite intervuu watu 1000 utapta wapi ukumbi wa dizajn hyo, so kma untafuta Kazi nenda kama untafuta ufalme wa mbingun pekee endelea. Hata mungu anajua Kuwa unatafuta nini.
 
Kwa mtazamo wangu,(naomba nisamehewe Kama nitawakwaza baadhi ya watu) Kuna Hawa waislamu na wasabato Ni watu wabaya sana, ni Kama watoto wa kambo, wanapenda kulinganisha Kila kitu!! .
Waislam wameingiaje hapa??
 
Hao utumishi waangalie namna ya kurekebisha hili maana hoja sijui za venue sijui kitu gani ni hoja dhaifu sana ukilinganisha na madhara yake. Wapange siku neutral ambayo haitaathiri kundi lolote
 
Hao utumishi waangalie namna ya kurekebisha hili maana hoja sijui za venue sijui kitu gani ni hoja dhaifu sana ukilinganisha na madhara yake. Wapange siku neutral ambayo haitaathiri kundi lolote
Haipo siku neutral...watakuja wengine watasema jumatatu, au alhamisi ni siku zao za kuabudu.
Wengine watasema muda wa asubuhi ni muda wa kusali. Tusifungue Pandora Box...Hakuna namna.
 
Haipo siku neutral...watakuja wengine watasema jumatatu, au alhamisi ni siku zao za kuabudu.
Wengine watasema muda wa asubuhi ni muda wa kusali. Tusifungue Pandora Box...Hakuna namna.
Hao watu unaowasemea hawapo kwa hiyo hatujadili vitu vya kufikirika hapa, hebu toa mfano wa watu kama unawafahamu
 
Hao utumishi waangalie namna ya kurekebisha hili maana hoja sijui za venue sijui kitu gani ni hoja dhaifu sana ukilinganisha na madhara yake. Wapange siku neutral ambayo haitaathiri kundi lolote
Mkuu kibongo bongo bado sana kama utaona kufanya usaili hakuna maana yoyote basi nakushaur jikite kutafuta ufalme wa mungu si lazima kuajiliwa unaweza anzisha ata biashara yako ili jmoc siku ya sabato uende ukashinde uko sabato mpk kesho yake ukeshe na kuomba
 
Mkuu amejibiwa vizuri kabisa hapa
 
Unajibu hivi kwa sababu hili halikugusi kwa namna yoyote ile ingekuwa linakugusa usingejibu hivi. Nyie ndiyo aina ya watu mwenzako anapitia shida mnamuacha kisa haikuhusu ikifika kwako unataka watu wote wakusaidie na lawama kuu.

Haki ya mtu ikivunjwa msaidie hata kama wewe haikuhusu
 
Kwani lazima waende? Wachague moja, hiyo siku dhambi nyingine wanafanya ila kwenda kwenye interview wanaona nongwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…