Yuko sahihi, chagua moja, kazi au kusaliNdiyo mawazo ya great thinker wa jamiiforums du! kazi tunayo nchi hii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sahihi, chagua moja, kazi au kusaliNdiyo mawazo ya great thinker wa jamiiforums du! kazi tunayo nchi hii!
Una maana hiyo Jumamosi wasabato huwa hawatendi dhambi yoyote? Vp ukiajiriwa mtu kama huyo then ikampasa kufanya kazi Jumamosi huoni kama ataleta shida? Wachague moja, kazi au kusali/kuabuduJibu la kipuuzi kweli, kuna watu humu wanapaswa kufukuzwa jamiiforums maana tuna wajinga wengi! jibu hoja acha kutoa majibu mepesi wengine hapa tunakuona kichwa chako kimejaa ujinga. jibu hoja bro tuone uwezo wako wa kuchambua mambo hatutaki majibu ya kijinga
Mh we nae hebu wacha kulia lia hapa,.unataka kazi nenda kwenye usaili whatever the day, hutaki kazi nenda kasali, simple. Mungu ni very brave anajua unataka kazi so hata usipoenda church siku hiyo he knows na atakubariki tu. Alafu watu wa church mindset mnakera sana[emoji34] kwani mmeambiwa kusali na kuabudu lazima.uwe church? yani mnakua as if kwenye bible imeandikwa kusali hadi uwe church, mmeshikwa na chirch mindset kiasi mkikosa mnaona kama hamjasalai, wake up pray, dress up enda kwa interview ukimaliza go back home na siku umeitendea haki, mind you watu wa church mindsets wengi nimeona ndio hua hawana hata maendeleo sababu everything theu do is for church people aonekane not God na hii inawafanya wanakua wazembe kwenye kazi zao au biashara zao sababu.mda wote anawaza church from Monday to Sunday , anataka ahudhulie kila kipindi kila ibada anasahau mambo mengine ya real life.Unajibu hivi kwa sababu hili halikugusi kwa namna yoyote ile ingekuwa linakugusa usingejibu hivi. Nyie ndiyo aina ya watu mwenzako anapitia shida mnamuacha kisa haikuhusu ikifika kwako unataka watu wote wakusaidie na lawama kuu.
Haki ya mtu ikivunjwa msaidie hata kama wewe haikuhusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda kanisani kazi na usaili achana nao
Mimi nadhani suluhisho ni kuwa Wasabato wasiajiriwe sehemu yoyote. Wajiajiri wao ili wawe huru kulala na kusali siku nzima ya jumamosiSiku za kazi pia ni shida maana wanaofanya interview na wanaoendesha interview wengine ni wasjiriwa Wana majukumu mengine. Binafsi wasabato hata wakipata kazi ,jumamosi kwao ni shida
Je ni lazima uende kwenye hiyo interview? Kama huwezi fanya kazi siku ya jumamosi nani atakuajiri? Mimi nadhan ni kipimo tosha cha mtu gani ni sahihi kwa kazi husika. So kila jumamosi wewe kama huwezi ingia /fanya kazi basi wewe hufai nenda kajiajiriIssue ndugu zangu ni moja hapa, hata kama kweli kuna ulazima wa kuweka ratiba ya usaili Jumamosi, kweli ndio iwe kila Interview ya Mchujo ifanyike Jumamosi? mara nyingi saaaana tarehe ya Usaili wa Mchujo always ni Jumamosi, kwanini hatuoni siku zingine zikijirudia? kwanini wakati wote ni Jumamosi? Kwani hiyo pekee ndio siku ya mapumziko ya mwisho wa Juma?
Mimi nina ushauri kwa Sekretarieti ya Ajira na Waajiri wengine nashauri mambo mawili kama itawapendeza ili kuweza kuwa neutral :
a) Kupanga tarehe mbili za siku za Interview ya mchujo ili waombaji wapewe uhuru wa kuchagua siku mojawapo ambayo ataweza kuhudhuria , changamoto ni nyingi sana so kuweka option ya siku mbili ni njia bora kabisa.
b) Wakati mwingine kubadilisha/ altenate siku za usaili wa Mchujo kwa kuweka siku zingine za mapumziko ya mwisho wa juma badala kila wakati kuweka Jumamosi ili ongalao na wale wachache ambao wanashindwa kuhudhuria Jumamosi wapate nafasi ya kujaribu wakati usaili unapopangwa kwenye siku nyingine
Kuendelea kupanga usaili za mchujo kila mara siku ya Jumamosi inaweza kuleta hisia kwamba hatuwajali wale ambao wanaabudu ziku ya Jumamosi pengine kwakuwa ni minority ( wachache)
Kuna watu mnajua kuchekesha kweli kweliMuheshimu Mungu Usifanye Usaili! Kama Ukiumwa Jumamosi Pia Muheshimu Mungu Kufa Usiende Hospitali
Safi sana hii, nadhani hata ukiumwa siku ya Sabato hutoenda hospitali ili uendelee kuheshimu sabato.Naona watu wanaongea kwa mihemko, inaonesha jinsi gan shetan anavyopinga Sabato ya Bwana
Binafsi Sitaenda kufanya interview siku ya Sabato ,
Sipo tayari kumuasi Mungu wangu ,toka nimehitimu chuo , nimegoma kufanya interview jumamos
Na sijafa njaa , Bali na Aman tele
NI HERI KUMTII MUNGU KULIKO WANADAMU
Vp na sisi wapagani tukisema j3 mpaka ijumaa ni siku ya mapumziko?Na waislam wakisema ijumaa wapumzike ingekuwaje yaani katika vitu ambavyo tumeingia mazima mazima waafrika ni dini mpaka wao wenyewe waliozileta wana tuona mbumbu kwa hlo.
Mbona swala dogo sana hilo, kama wewe ni Muslims na huli kitimoto acha,ukitaka kula kula, lakini wakatoliki watakula tu. Wewe kama ni Msabato na usaili ni Jumamosi amua moja, nenda kama hutaki usiende full stop.Understanding yako iko chini sana siwezi hata ku argue na wewe tena! just think out side the box, hivi muislam safi anaweza kula nguruwe eti kwasababu wakatoliki na waluteli wanakula? usitoe majibu mepesi hivyo wakati kuna watu wengine wanaumia let us be realistic tuache chuki na majibu ya dharau kwa imani za watu tukijidai wataalamu sana wa hoja nyepesi
Wanao sahili wengine huwa wanakodishwa kutoka sehemu mbalimbali kuanzia public sectors mpaka private sectors. So huko mara nyingi huwa wako free siku za weekend, tofauti na hapo inabidi waombe ruhusa au kuchukua leave kutoka huko wanakofanya kazi. Usikariri mkuuMi naona usahili unafanyia j.mosi ili wasahili wapige pesa ya over time. Maana ki uhalisia usahili ni sehemu ya kazi kwa nini usifanyike siku za kazi?
Mimi mi mpagani, siku ya alihamisi ndiyo siku yangu ya kutokufanya kazi.Hao watu unaowasemea hawapo kwa hiyo hatujadili vitu vya kufikirika hapa, hebu toa mfano wa watu kama unawafahamu
Kweli wewe Mnyakyusa tena wa Ipinda! you people are very arrogant. Jibu hoja za mtoa mada intellectually, usijibu kama mtu asie fikili mambo kwa kina. Jibu swala usi attack watu, ukifanya hivyo binafsi nakuona uwezo wako wa understanding uko chini sanasanaMh we nae hebu wacha kulia lia hapa,.unataka kazi nenda kwenye usaili whatever the day, hutaki kazi nenda kasali, simple. Mungu ni very brave anajua unataka kazi so hata usipoenda church siku hiyo he knows na atakubariki tu. Alafu watu wa church mindset mnakera sana[emoji34] kwani mmeambiwa kusali na kuabudu lazima.uwe church? yani mnakua as if kwenye bible imeandikwa kusali hadi uwe church, mmeshikwa na chirch mindset kiasi mkikosa mnaona kama hamjasalai, wake up pray, dress up enda kwa interview ukimaliza go back home na siku umeitendea haki, mind you watu wa church mindsets wengi nimeona ndio hua hawana hata maendeleo sababu everything theu do is for church people aonekane not God na hii inawafanya wanakua wazembe kwenye kazi zao au biashara zao sababu.mda wote anawaza church from Monday to Sunday , anataka ahudhulie kila kipindi kila ibada anasahau mambo mengine ya real life.
Siungi mkono hoja , Interview iendelee kufanyika Jumamosi sababu ndio siku ambayo 95% ya watu wanaeza kuafford kuhudhulia, hao 5% wajue tu world is not fair so wachague A or B sababu huezi ridhisha watu wote, ila wengi wakiridhika then perfect.
NonsenseMimi mi mpagani, siku ya alihamisi ndiyo siku yangu ya kutokufanya kazi.
UjingaYuko sahihi, chagua moja, kazi au kusali
Mshkaji uelewa wako uko chini sana pole sana, sitajibu tena message za mtu mwenye mawazo ya kipumbavu kama wewe bora hata ungekua mjinga ungesaidiwa. Badala ya kujibu swala unaandika takatakaMbona swala dogo sana hilo, kama wewe ni Muslims na huli kitimoto acha,ukitaka kula kula, lakini wakatoliki watakula tu. Wewe kama ni Msabato na usaili ni Jumamosi amua moja, nenda kama hutaki usiende full stop.
Shetani sasa kaja tenaUna maana hiyo Jumamosi wasabato huwa hawatendi dhambi yoyote? Vp ukiajiriwa mtu kama huyo then ikampasa kufanya kazi Jumamosi huoni kama ataleta shida? Wachague moja, kazi au kusali/kuabudu