Wanasaidia watoto wenu
Mnawaita matapeli
Uhalisia hauko hivo, serikali haiwezi kuwasaidia kwenye elimu
Washukru walimu Kwa mkakati wa kufaulisha
Elimu ni Pana, Elimu ni gharama.
We unaamka unamtuka mtoto shule, hana vitabu vya ziada, shule haina maktaba, vitabu havitoshi, walimu hawatoshi, madawati hayatoshi, watoto wengi, shuleni watoto hawapati hata uji
Mwalimu anawambia wazazi mchangie 200
Watoto wafanye majaribio, nje ya ratiba ya serikali ambayo haitekelezeki
Unakuja mtandaoni kushtaki na kulalamika mitandaoni
Sasa wakiacha hayo majaribio, unadhani mwalimu atapoteza kazi yake
Watanganyika ni watu wapumbavu sana