Tabia ya Wamiliki wa Vyombo vya Moto Kutoa Rushwa huku wakiwarekodi Askari barabarani , Sheria isimuhukum Askari pekeake na Mtoa Rushwa awajibishwe

Tabia ya Wamiliki wa Vyombo vya Moto Kutoa Rushwa huku wakiwarekodi Askari barabarani , Sheria isimuhukum Askari pekeake na Mtoa Rushwa awajibishwe

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hawa Askari wetu wanafanya kazi kubwa na Ngumu mnoo, Mvua yao, Jua lao .

Watanzania wachache Kwa upuuzi na makusudi yao, huamua kwenda Kumpa Hela Askari , wakati fulan Askari anaipokea akijua ni "Pole ya juani" kama ilivyo kawaida katika kada mbalimbali .

Ajabu unakuta Mtanzania huyo alotoka hiyo Pole , anamrekodi na kunigeuza kua Content na kuweka mitandaoni.

Kwa bahati mbaya sana, Viongozi wa Juu waonapo Hilo, nao hukurupuka kwa mihemko, Hisia na preshaa na kuishia Kutoa matamko makali makali na kumuadhibu Askari huyu ambaye uwepo wake barabaran umeokoa Maisha ya watu wengi, na Kumuachia huyu Mtoa Rushwa .

Soma Pia: Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Ikiwa ni Rushwa, nadhan Sheria Iko wazi, Mtoa Rushwa, Mpokeaji wote wachukuliwe hatua.

Madereva wengi ni wapuuzi sana, anakunja Buku mbili, anampa Askari barabaran, kiuhalisia Hii buku mbili huwezi ihesabu kama Rushwa , alafu anamrekodi baadae anaitupia mtandaoni.

Madereva wengi hasa wa daladala, wao ndio waanzishaji wa Hizi elfu mbili, tano , Kwa Askari aliyefunzwa, hawezi kuomba Rushwa ya elfu mbili, tano ,kumi .


Simaanishi kwamba Rushwa haitolewi, Baadhi ya Askari kweli huilazimisha na kujitafuta Rushwa na inapofikia hapa Sheria ichukue Mkondo wake Kwa mtoaji na Mpokeaji.
 
Hawa Askari wetu wanafanya kazi kubwa na Ngumu mnoo, Mvua yao, Jua lao .

Watanzania wachache Kwa upuuzi na makusudi yao, huamua kwenda Kumpa Hela Askari , wakati fulan Askari anaipokea akijua ni "Pole ya juani" kama ilivyo kawaida katika kada mbalimbali .

Ajabu unakuta Mtanzania huyo alotoka hiyo Pole , anamrekodi na kunigeuza kua Content na kuweka mitandaoni.

Kwa bahati mbaya sana, Viongozi wa Juu waonapo Hilo, nao hukurupuka kwa mihemko, Hisia na preshaa na kuishia Kutoa matamko makali makali na kumuadhibu Askari huyu ambaye uwepo wake barabaran umeokoa Maisha ya watu wengi, na Kumuachia huyu Mtoa Rushwa .

Soma Pia: Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Ikiwa ni Rushwa, nadhan Sheria Iko wazi, Mtoa Rushwa, Mpokeaji wote wachukuliwe hatua.

Madereva wengi ni wapuuzi sana, anakunja Buku mbili, anampa Askari barabaran, kiuhalisia Hii buku mbili huwezi ihesabu kama Rushwa , alafu anamrekodi baadae anaitupia mtandaoni.

Madereva wengi hasa wa daladala, wao ndio waanzishaji wa Hizi elfu mbili, tano , Kwa Askari aliyefunzwa, hawezi kuomba Rushwa ya elfu mbili, tano ,kumi .


Simaanishi kwamba Rushwa haitolewi, Baadhi ya Askari kweli huilazimisha na kujitafuta Rushwa na inapofikia hapa Sheria ichukue Mkondo wake Kwa mtoaji na Mpokeaji.
Nasikia hapo kale Mwafrika alimwita white man kwajina la Mlungu (a.k.a Mungu),then tukashtuka tukamwita Mzungu...hatari, hahaha
 
Zikiwekwa taa za kuongozea magari kwenye makutano yote muhimu ya barabara na pia zikifungwa camera za usalamu kwenye maeneo yote muhimu; sidhani kama kutakuwa na sababu ya kutapakaa kwa hao askari kwenye barabara zetu kiasi cha kugekuwa kuwa moja ya kero sugu za barabarani.

Halafu naunga mkono wanavyorekodiwa kwenye matukio ya upokeaji wa rushwa. Maana hicho ndicho kipaumbele chao kikuu wawapo barabarani! Kupokea rushwa, au kubambikia watu faini.
 
Pole ya Nini wakati wanalipwa mshahara Kwa kazi hiyo...wewe utakuwa ni askari au anko Yako ni polisi...Toshekeni na mishahara yenu..naunga mkono mrekodiwe....
Halafuuuuuuu....Si ccm mnawasaidia kwenye uchaguzi iweje tena mnakamatwa?
 
Hawa Askari wetu wanafanya kazi kubwa na Ngumu mnoo, Mvua yao, Jua lao .

Watanzania wachache Kwa upuuzi na makusudi yao, huamua kwenda Kumpa Hela Askari , wakati fulan Askari anaipokea akijua ni "Pole ya juani" kama ilivyo kawaida katika kada mbalimbali .

Ajabu unakuta Mtanzania huyo alotoka hiyo Pole , anamrekodi na kunigeuza kua Content na kuweka mitandaoni.

Kwa bahati mbaya sana, Viongozi wa Juu waonapo Hilo, nao hukurupuka kwa mihemko, Hisia na preshaa na kuishia Kutoa matamko makali makali na kumuadhibu Askari huyu ambaye uwepo wake barabaran umeokoa Maisha ya watu wengi, na Kumuachia huyu Mtoa Rushwa .

Soma Pia: Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Ikiwa ni Rushwa, nadhan Sheria Iko wazi, Mtoa Rushwa, Mpokeaji wote wachukuliwe hatua.

Madereva wengi ni wapuuzi sana, anakunja Buku mbili, anampa Askari barabaran, kiuhalisia Hii buku mbili huwezi ihesabu kama Rushwa , alafu anamrekodi baadae anaitupia mtandaoni.

Madereva wengi hasa wa daladala, wao ndio waanzishaji wa Hizi elfu mbili, tano , Kwa Askari aliyefunzwa, hawezi kuomba Rushwa ya elfu mbili, tano ,kumi .


Simaanishi kwamba Rushwa haitolewi, Baadhi ya Askari kweli huilazimisha na kujitafuta Rushwa na inapofikia hapa Sheria ichukue Mkondo wake Kwa mtoaji na Mpokeaji.
Umeshawahi kukamatwa na trafiki ukiwa na kosa la kibinadamu halafu huna hata mia???

Siku likikutokea hilo hutaandika tena kuwatetea hawa watu. Hawafai kabisa, rushwa wameihalalisha. Hakuna fairness maishani. Kama wanatubeba gari mbovu weka pembeni andika faini na sio kunijengea ugumu au kunikomoa makusudi.
 
Back
Top Bottom