Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.

Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile.

Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.

Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.

All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Wanamtandao waliitikisa nchi kwa miaka takriban ishirini. Kuna wengine bado wana hangover za ile ccm dhaifu. Ile iliyounda serikali dhaifu. CCM ya sasa mtu kama huyo anaitwa jasusi mbobezi hawezi kuisumbua kuanzia kwenye siasa mpaka kwenye mali walizokuwa wakichuma watakavyo. Membe asome alama za nyakati.
 
Dah ila maisha mtaani yamekuwa magumu hata hayaeleweki yanakwenda direction gani!
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile...
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Naona chizi karogwa tena
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile...
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hiyo tabia haijakoma, ila fashion ya sasa ni kujipendekeza kwa mwenyekiti ili upate mlo. Ingekuwa hiki kinachoendelea ni msingi wa chama, ungekuwa na hoja. Baada ya mwenyekiti huyu atakuja mwingine, kwakuwa haya mambo hayafanyiki kwa misingi, akija mwenyekiti mwingine tabia zake binafsi ndio itakuwa tabia ya chama. Kwa maneno marahisi, tabia binafsi za Magufuli za kutaka kusujudiwa, ndio kinachoendelea ndani ya ccm. Hao unaosema ni wanamtandao, wengi hawamsujudii ndio maana unadhani hiyo tabia imekoma. Kutesa kwa zamu.
 
Hiyo tabia haijakoma, ila fashion ya sasa ni kujipendekeza kwa mwenyekiti ili upate mlo. Ingekuwa hiki kinachoendelea ni msingi wa chama, ungekuwa na hoja. Baada ya mwenyekiti huyu atakuja mwingine, kwakuwa haya mambo hayafanyiki kwa misingi, akija mwenyekiti mwingine tabia zake binafsi ndio itakuwa tabia ya chama. Kwa maneno marahisi, tabia binafsi za Magufuli za kutaka kusujudiwa, ndio kinachoendelea ndani ya ccm. Hao unaosema ni wanamtandao, wengi hawamsujudii ndio maana unadhani hiyo tabia imekoma. Kutesa kwa zamu.
vijana walioona fursa wanatambua ukweli.kipindu kile hakuna kijana aliyethubutu kutia nia kama hana mtandao
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile...
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Naunga mkono hoja!
 
Membe kakukuruka wee,kila siku anazidi kkutengwa,anaelekea ACT kwa sasa
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile...
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
.
IMG_20200531_072737_186.jpg
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile...
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kuna 1.5t haikuonenaka mpka leo hebu tupe maelezo yake.
 
Back
Top Bottom