Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda niwe nimekufaSi ulishakuwa mwana CCM au umejisahau?
Chama Cha Mabeparivijana walioona fursa wanatambua ukweli.kipindu kile hakuna kijana aliyethubutu kutia nia kama hana mtandao
Pipa na funiko kwenye ubora wenuNaunga mkono hoja!
Punguzeni maspidi "kipindu" ndo nini?
Mwisho mtaandika matusi kwa haraka zenu...
Membe kakukuruka wee,kila siku anazidi kkutengwa,anaelekea ACT kwa sasa
Ulikua mpiga dili wewe! Juzi hapa mabeberu wametuambia tumeingia uchumi Wa kati alafu bado unalalamika?!
Wacha ukupe kumnyonya shemeji yako nenda kafanye kazi!Pipa na funiko kwenye ubora wenu
Nasikia shemeji yako pale Nyamadooke amekufukuza kutoka nyumbani kwake.Wacha ukupe kumnyonya shemeji yako nenda kafanye kazi!
Pole sana mtani ni kujiongeza tuNasikia shemeji yako pale Nyamadooke amekufukuza kutoka nyumbani kwake.
Pole sana mtani ni kujiongeza tu
Kafanye kazi usiwe kupe wapwa watakudharau ona wanavyokutuma vibakuli!Kwahiyo kukaa kwa shemeji yako ni kujiongeza? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wazazi wako wamepata hasara kuwa na mtoto zooba kama weweKafanye kazi usiwe kupe wapwa watakudharau ona wanavyokutuma vibakuli!
Acha kupotosha Ccm ni taasisi iliyojiimarisha na hufanya kazi kwa misingi ya katiba na kanuni za Chama. Sasa hivi hakuna makundi wala cha matajiri kuikamata Ccm. Mtoa mada yupo sawa kabisa.Ccm saaizi ni mali ya mtu mmjoa ni sacxoss ya Chato.....mtu mmoja anaamua nani agombee wapi na ukipanua domo lako unapotezwa fasta.......
Kuna mbwa walikua upinzani walikua wanawasema viongozi hadi mwenyekiti kirahisi kabisa lkn huko ccm hakuna demokrasia wakipanua midomo yao michafu watapata tabu sn sn
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.
Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile.
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.
CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hicho unachosema ni ccm ya zamani hii ya sasa ni mali ya mtu binafsi......JIONGEZE MKUUAcha kupotosha Ccm ni taasisi iliyojiimarisha na hufanya kazi kwa misingi ya katiba na kanuni za Chama. Sasa hivi hakuna makundi wala cha matajiri kuikamata Ccm. Mtoa mada yupo sawa kabisa.
Mali ya mtu binafsi huwa inakuwa hivi?Hicho unachosema ni ccm ya zamani hii ya sasa ni mali ya mtu binafsi......JIONGEZE MKUU