Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

Raisi Magufuli kazizika rasami mitandao ya wezi ndani ya CCM,yALE YALIKUWA magroup ya wezi
 
Ccm wanaiga mienendo ya chadema...ndio maana wanabania uhuru wa kujieleza....
 
Membe alikuwa mbwembwe kweli! Nyuzi zikimiminika humu mara ooh nilitumwa na Nyerere nikamchunguza Kikwete kipindi hcho yuko jeshini!
 
Ccm saaizi ni mali ya mtu mmjoa ni sacxoss ya Chato.....mtu mmoja anaamua nani agombee wapi na ukipanua domo lako unapotezwa fasta.......
Kuna mbwa walikua upinzani walikua wanawasema viongozi hadi mwenyekiti kirahisi kabisa lkn huko ccm hakuna demokrasia wakipanua midomo yao michafu watapata tabu sn sn
 
Ccm saaizi ni mali ya mtu mmjoa ni sacxoss ya Chato.....mtu mmoja anaamua nani agombee wapi na ukipanua domo lako unapotezwa fasta.......
Kuna mbwa walikua upinzani walikua wanawasema viongozi hadi mwenyekiti kirahisi kabisa lkn huko ccm hakuna demokrasia wakipanua midomo yao michafu watapata tabu sn sn
Acha kupotosha Ccm ni taasisi iliyojiimarisha na hufanya kazi kwa misingi ya katiba na kanuni za Chama. Sasa hivi hakuna makundi wala cha matajiri kuikamata Ccm. Mtoa mada yupo sawa kabisa.
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.

Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile.

Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.

Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.

All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

CCM ni chama cha mitandao inayopishana madarakani. Hata hii awamu nayo ni mtandao mpya wenye wapiga debe wake wanaoimba mapambio na kusujudu usiku na mchana kwa kila lenye heri na shari toka kwa mkuu wake. Tulitoka kwenye ukweli na uwazi; tukaja kwenye ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi; sasa tuko kwenye hapa kazi tu. CCM ni ile ile ila kutesa kwa zamu kama mnavyojinasibu. Mtaendelea kutuendesha kama gari bovu ( ref. Mzee Ruksa).

Siku JPM akiondoka utaingia mtandao mwingine na wimbo mpya utaanzishwa; awamu zilizopita zitalaaniwa kwa sana na safari ya kuzimu itaendelea “inexorably” kwani mitandao ndio jadi ya mfumo wa chama kimoja kuhodhi madaraka (de facto).
 
Acha kupotosha Ccm ni taasisi iliyojiimarisha na hufanya kazi kwa misingi ya katiba na kanuni za Chama. Sasa hivi hakuna makundi wala cha matajiri kuikamata Ccm. Mtoa mada yupo sawa kabisa.
Hicho unachosema ni ccm ya zamani hii ya sasa ni mali ya mtu binafsi......JIONGEZE MKUU
 
Back
Top Bottom