Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

Mali ya mtu binafsi huwa inakuwa hivi?
Wote waliojaribu kupanua mdomo na kuhoji unajua kilichowapata.......saaizi mtu mmoja tu ndo anaamua nani agombee wapi.......

Mtaisoma sn namba maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama mliupalililia mkidhani wapinzani ndio wataumia sasa mtakipata.........

Kumbukeni sn Dhambi ya Ubaguzi haiwezi kuwaacha salama Kuna mtu hapo keshakunywa damu ya mtu hataacha by Mwl Nyerere
 
Wote waliojaribu kupanua mdomo na kuhoji unajua kilichowapata.......saaizi mtu mmoja tu ndo anaamua nani agombee wapi.......

Mtaisoma sn namba maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama mliupalililia mkidhani wapinzani ndio wataumia sasa mtakipata.........

Kumbukeni sn Dhambi ya Ubaguzi haiwezi kuwaacha salama Kuna mtu hapo keshakunywa damu ya mtu hataacha by Mwl Nyerere
Nashangaa huu utumbo wa kuku ulioandika. Yaani Mkuu wa nchi kuwaambia viongozi watimize majukumu yao na kuwaasa waache tamaa ya madaraka imekuwa anachagulia watu pa kugombea!
 
ndio maana david silinde amepitishwa na mtu mmoja kugombea kule momba hakuna ruhusa kwa mwingine kutia nia
 
Nashangaa huu utumbo wa kuku ulioandika. Yaani Mkuu wa nchi kuwaambia viongozi watimize majukumu yao na kuwaasa waache tamaa ya madaraka imekuwa anachagulia watu pa kugombea!
Hata hujielewi ulichoandika sicho nilichosema....
 
Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.

Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.

Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile.

Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.

Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.

All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.

CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
CCM wahalifu wamejaa kina serukamba
 
Back
Top Bottom