Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Wote waliojaribu kupanua mdomo na kuhoji unajua kilichowapata.......saaizi mtu mmoja tu ndo anaamua nani agombee wapi.......Mali ya mtu binafsi huwa inakuwa hivi?
Mtaisoma sn namba maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama mliupalililia mkidhani wapinzani ndio wataumia sasa mtakipata.........
Kumbukeni sn Dhambi ya Ubaguzi haiwezi kuwaacha salama Kuna mtu hapo keshakunywa damu ya mtu hataacha by Mwl Nyerere