Wote waliojaribu kupanua mdomo na kuhoji unajua kilichowapata.......saaizi mtu mmoja tu ndo anaamua nani agombee wapi.......Mali ya mtu binafsi huwa inakuwa hivi?
Labda awe Rais wa YangaNa ndiye rais baada ya uchaguzi wa October
Nashangaa huu utumbo wa kuku ulioandika. Yaani Mkuu wa nchi kuwaambia viongozi watimize majukumu yao na kuwaasa waache tamaa ya madaraka imekuwa anachagulia watu pa kugombea!Wote waliojaribu kupanua mdomo na kuhoji unajua kilichowapata.......saaizi mtu mmoja tu ndo anaamua nani agombee wapi.......
Mtaisoma sn namba maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama mliupalililia mkidhani wapinzani ndio wataumia sasa mtakipata.........
Kumbukeni sn Dhambi ya Ubaguzi haiwezi kuwaacha salama Kuna mtu hapo keshakunywa damu ya mtu hataacha by Mwl Nyerere
Hata hujielewi ulichoandika sicho nilichosema....Nashangaa huu utumbo wa kuku ulioandika. Yaani Mkuu wa nchi kuwaambia viongozi watimize majukumu yao na kuwaasa waache tamaa ya madaraka imekuwa anachagulia watu pa kugombea!
Kama hajaelewa nilichokujibu unashabikia mambo kwa kufuata mkumbo.Hata hujielewi ulichoandika sicho nilichosema....
Labda awe Rais wa Yanga
Hata hujielewi ulichoandika sicho nilichosema....
Kazi kweli kweli mkuuHilo ni puto la uwanjani
Mkumbo unajua au nyie ndio walamba makalio ili mpate vyeo...... Kojoa kalale km hujielewi unachoandikaKama hajaelewa nilichokujibu unashabikia mambo kwa kufuata mkumbo.
Umeridhika?Mkumbo unajua au nyie ndio walamba makalio ili mpate vyeo...... Kojoa kalale km hujielewi unachoandika
Wewe nae unajua nini? Kichwani mmejaza manailoniHilo ni puto la uwanjani
Kiroho safi kabisa....Umeridhika?
Dah ila maisha mtaani yamekuwa magumu hata hayaeleweki yanakwenda direction gani!
CCM wahalifu wamejaa kina serukambaWapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi.
Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama.
Wapo baadhi ya nyang'au wachache wanaohisi hizi ni zama zile.
Napenda niwaonye mapema kuwa umbea,figisu na matishio kwa chama havina nafasi kwa sasa.
Wapambane na hali zao...washindane kwa haki sio ulaghai,wasichukue fedha za wagombea...wasijishebedue kutetea wawekezaji wahuni kwani itakula kwao...Tanzania ipo uchumi wa kati.
All i All mwaka huu CCM iaenda kusimamisha waadilifu watupu na wala sio wauza unga,majangili wa meno ya Tembo au wahujumu uchumi.
CCM ni safi na ipo kwa ajili ya wasafi.
Amenitonya Mzee Shomari
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Asubuhi mapema kabla mbuzi hawajapelekwa malishoni!Ushindi wa Asilimia 100