Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu


Hahaa umenifanya nicheke kwa sauti
 
Inaelekea wamekukera sana. Hawakukufikisha kileleni au?
Angalia sana hii kauli ya "kukutia karaha". Mwanaume mwenzio anakutiaje karaha?
Babu naona umeikomalia mada hatari, shikamoo!
 
Huku wakicheza pool,si ajabu Mh raisi kupiga marufuku pool kucheza pool,kwa kifupi Dar wanaofanya kazi ni kama asilimia 30 tu iliyobaki ni kukaa vibarazani na kushinda posta.
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…