Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Unajua ni kwanini alikuuliza wewe hakuuliza wengine?? Angalia unavyojitengeneza sura yako. Shauri zako.wanaume wa dar wote ni mabebez mkuu au ulikua hujui, ndio maana unasikia uzee mwisho chalinze dar wote ni bebez.
wanaume wanashinda muda wote baba shop wqkitengeneza nywele na kusuguliwa kucha na wamasai unategemea wazungumze nini.
kuna mwingine jana aliniudhi,katoka likizo juzi anafika jana ofisini ananiuliza hivi kweli wema sepetu hana mimba, nilitamani kumtwanga kichwa.