Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Michepuko ya Nini na umepata mtu anakuridhisha....afu bao la asubuhi mbona ni la kusogeza muda tu wa kuamka...hata msipoinuka bado mtapeana mmelala hivyohivyo....acha uvivu....mchepuko mpige mate tu yanamtoshaBao 4 bado michepuko ya nje.
Sisi wanaume ndio maana umri wetu wa kuishi hapa duniani mnatuzidi kwa wastani kulinganisha na wanawake.
Wewe ni kipanga,nakuogopa sana aisee🤣🤣🙌Aya njoo tuishi huku kijijini 😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa wewe siku nyingine sijui unaamkajee🤣🙌acha ukuda
Hakikani vile tunajua mko na maokoto wengi wenu pensheni tuwasaidie kuzitumia, sasa na wewe babu hkitongozwa ndio uje utangazie? unaonekana ulikua mbea sana enzi za ujana wako
🤣🤣🤣Pole sanaMada za leo zinanivunja mbavu tu.
Hii reply inaitwa "sema we ni fundi bila kusema we ni fundi"2000s na vibabu ni maji na samaki.... wanasema ni rahisi kuwapelekesha kwa bed....wakiibugia mnamwaga,wakikunia kwenye kisimi mnamwaga,wakijifanya wanaiweka mlango wa nyuma mnamwaga...yaan hamnaga kupotezeana muda kabisa 🥴
Wakiikunia nini kwenye nini?2000s na vibabu ni maji na samaki.... wanasema ni rahisi kuwapelekesha kwa bed....wakiibugia mnamwaga,wakikunia kwenye kisimi mnamwaga,wakijifanya wanaiweka mlango wa nyuma mnamwaga...yaan hamnaga kupotezeana muda kabisa 🥴
acha ukuda
naona anataka kuharibu kama amechoka age mashindano🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa wewe siku nyingine sijui unaamkajee🤣🙌
Nlikuwa chuo kwa mafunzo, kwa sasa nimefuzu staili zote, hutojuta 😀Wewe ni kipanga,nakuogopa sana aisee🤣🤣🙌
Mwenye mada ni mkali kweli....ningenyoosha maelezo hapa🤭Wakiikunia nini kwenye nini?
🤣🤣🤣Aachie ngazinaona anataka kuharibu kama amechoka age mashindano
mabinti wakituangalia kwa jicho la huruma wewe unakerekwa na nini nduguMulofa.wewee
Anahamu sasa wewe ulifuata nini club na 30 + ila club siendi wala bar nimekuwa mtu waheshima nenda hoteli kubwa kubwa bar zao ninzuri vingi haviwezi kuja hela hakuna soda moja tu elfu 3 au 5 . Ndoo pombe beer 8000 moja chakula inaanza 50 ,kama chapati mt meru ni elfu kumi moja watasonga kweli . Kama unaenda for kuangalia majengo ni lazima laki ikutokeMunandeleaje?
Mimini mzee, hawa mabinti hawana nidhamu wala adabu.
Ni hawa mabinti wa miaka ya 2000
Binti wa Miaka 25 anapata wapi ujasiri wa kumtongoza mtu wa umri wa baba yake?
Kwaiyo wazee tusiende klabu?
Huu ni usumbufu.
hawa ndio wakishashiba wanapiga teke jungu wengine tukose🤣🤣🤣Aachie ngazi