Tabia ya Wanawake kujirahisisha kwa wazee inakera

Tabia ya Wanawake kujirahisisha kwa wazee inakera

🤣🤣🤣🤣Michepuko ya Nini na umepata mtu anakuridhisha....afu bao la asubuhi mbona ni la kusogeza muda tu wa kuamka...hata msipoinuka bado mtapeana mmelala hivyohivyo....acha uvivu....mchepuko mpige mate tu yanamtosha
Michepuko ni chuo cha mafunzo, michepuko pia ni appetizer, ukitoka huko mkeo anakuwa mpya na mbinu za kutosha umejifunza.
Kule ni kiwanja cha mazoezi.
 
Munandeleaje?

Mimini mzee, hawa mabinti hawana nidhamu wala adabu.

Ni hawa mabinti wa miaka ya 2000

Binti wa Miaka 25 anapata wapi ujasiri wa kumtongoza mtu wa umri wa baba yake?

Kwaiyo wazee tusiende klabu?

Huu ni usumbufu.
Kama udindishi si unampotezea tu ...kwa kumpa vicenti wewe unadhani hao mabinti wanafanya hivyo kwa kupenda au ni dhiki kuu iliyo letwa na ccm ndiyo inayo watweza utu wao.
 
W
🤣🤣🤣🤣Michepuko ya Nini na umepata mtu anakuridhisha....afu bao la asubuhi mbona ni la kusogeza muda tu wa kuamka...hata msipoinuka bado mtapeana mmelala hivyohivyo....acha uvivu....mchepuko mpige mate tu yanamtosha

Mmmmh we si bikra wewe 🤔🤔
 
🤣🤣🤣🤣Michepuko ya Nini na umepata mtu anakuridhisha....afu bao la asubuhi mbona ni la kusogeza muda tu wa kuamka...hata msipoinuka bado mtapeana mmelala hivyohivyo....acha uvivu....mchepuko mpige mate tu yanamtosha
Screenshot_20241012-235323.png
 
Back
Top Bottom