Sawa mkuu π€£π€£Nimesema hata 1 hana km nasema uongo atasema mwenyewe, sitaki ban mimi
Ila kweli kiswahili kigumu aisee si mchezo π€£π€£π€£π€£π€£Mods wamefanya editing ila mwenyewe aliandika vile
πππSi.taki hupuziwenu kwenye madayagu,munaongearuga zakihuni,shezi nyiye
Mkuu umeona kiswahili hiko??π€£π€£π€£πππ
Wazee ndo wenye maokoto! Wee vipi mzee mwenzangu? Au mashine imenoki? Nisukumizie mimi!Munandeleaje?
Mimini mzee, hawa mabinti hawana nidhamu wala adabu.
Ni hawa mabinti wa miaka ya 2000
Binti wa Miaka 25 anapata wapi ujasiri wa kumtongoza mtu wa umri wa baba yake?
Kwaiyo wazee tusiende klabu?
Huu ni usumbufu.
Hizo bao 3/4 ni baada au kabla ya mechi? Ukipigwa hata kimoja tayari ilikuwemo!Umesema nyieπ€£π€£π€£π€mi siyo wa 2000 mkuu....acha ukorofi...mi bila bao 3 na 4cha asubuhi bado hujanila mkuu