Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

Wasanii katika harakati za kuharibu jamii.

img_1_1698673230127.jpg
 
Kila akifanyacho mwanadamu ambacho huwa ni kinyume na maumbile yake hudhihirisha matamanio yake ya kutaka kuwa na maumbile anayoyaiga.

Kutumia usanii huwa ni geresha ila kiuhalisia hao wote ni watoto wa kiume kimuonekano wenye matamanio ya kuwa wanawake.
Hao wote ndani ya nafsi zao wanajihisi ni wanawake na pengine wakiwa vyumbani mwao wanafanywa vitendo vya kike.

Kuna uwezekano wa kuwa msanii na usiwe na mambo ya kike.
Ni kweli. Hata sauti zao wanapoimba ni sauti za kike
 
Mm nadhan wanachotaka ni kama hiki alichokifanya mtoa taarifa, yani wanataka kuzungumziwa
 
20231030_180139.jpg

Punga lingine hili huyu dogo aliwahi kuwa kwenye bss yaani bongo 🌟 search
 
Back
Top Bottom