Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

huwa nashindwa kuelewa, hivi ni kwamba serikali huwa haiwaoni hawa watu au? hawajui kama wanaharibu utamaduni wetu?

Unawezaje kukemea ushoga ila ukaacha viashiria vya ushoga kama hivi? na, utakuta wanawake ndio wanawasifia sana ati wanajua kuchekesha, wanajua kujibadilisha na kuvaa uhusika, hivi hakuna wanawake waigizaji wanaoweza kuigiza kama wanawake na wanaume kuigiza kama wanaume?

Hivi mnanielewa?
 
huwa nashindwa kuelewa, hivi ni kwamba serikali huwa haiwaoni hawa watu au? hawajui kama wanaharibu utamaduni wetu?

Unawezaje kukemea ushoga ila ukaacha viashiria vya ushoga kama hivi? na, utakuta wanawake ndio wanawasifia sana ati wanajua kuchekesha, wanajua kujibadilisha na kuvaa uhusika, hivi hakuna wanawake waigizaji wanaoweza kuigiza kama wanawake na wanaume kuigiza kama wanaume?

Hivi mnanielewa?
Hapana, Serikali inaona hili ila wao wanataka watanzania waendelee kuwa wajinga na kupenda bongo fleva na bongo movie huku viongozi wakifanya yao kama vile kujilimbikizia rasilimali za nchi huku sie tukiendelea kuwa wajinga tu. Oneni wenzetu wa Kenya walivyo amka.
 
Back
Top Bottom