SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Vijana wa CCM haoInasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa CCM haoInasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
Wewe ni mmasai?Ongea yote ila issue ya kutoboa masikio na pua tuache Tu mkuu
All of the aboveWewe ni mmasai?
Au ulitoboa pua kwasababu ulikuwa inspired na Tupac au Chidi Benz?
Au umetoboa kama swagga kwasababu wewe ni cheki bob unaenda na fashion?
Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
Hatari sanaKabisa inasikitisha sana
Naunga mkono hoja 👍👏Siku hizi maadili kwa basata ni kutokukemea maovu. Ukionekana unaoinga uasi wa watawala, imekula kwako
Wasanii wa wasafi wote wametoboa pua inasikitisha sanaKwenye kipengele cha kutoboa pua ndo sijawahi kukielewa, nikiona ke tu katoboa pua nachafukwa sasa ndo dume eti limejitoboa sababu ni star, star ya nyokweee
Ni ladyboy haoHicho ni kioo cha Jamii kilichopasuka...
Huo sio tu utovu wa maadili,
Lakini pia ulevi wa mafanikio ya kuonekana kwenye tv na kukosa ubunifu wa contents
Hao ndo wenyeviti wa mada hiiWasanii wa wasafi wote wametoboa pua inasikitisha sana
Ijulikane moja, wabadili bas hadi kundi lao liitwe Lady Boys Camp (LBC)Ni ladyboy hao
Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949