Wakifanyiwa upembuzi yakinifu utagundua hawatumii masikio kusikia wa macho kuonaInasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
Ka lingerieka pink..usistaajabu ndani ya hizo kanga na dera kuna ka lingerie ka pink.
Naunga mkono hoja ππKipa hayupo tena golini but waiting for VAR to confirm
Hii ndiyo comment yangu Bora ya mwezi huuMiziki ni kazi ya Kishetani kuna maovu mengi ndani yake..
Hawana akili
Naunga mkono hoja ππHii ndiyo comment yangu Bora ya mwezi huu
Ni kweli. Hata sauti zao wanapoimba ni sauti za kikeKila akifanyacho mwanadamu ambacho huwa ni kinyume na maumbile yake hudhihirisha matamanio yake ya kutaka kuwa na maumbile anayoyaiga.
Kutumia usanii huwa ni geresha ila kiuhalisia hao wote ni watoto wa kiume kimuonekano wenye matamanio ya kuwa wanawake.
Hao wote ndani ya nafsi zao wanajihisi ni wanawake na pengine wakiwa vyumbani mwao wanafanywa vitendo vya kike.
Kuna uwezekano wa kuwa msanii na usiwe na mambo ya kike.
Kabisa hawana akiliNi kweli. Hata sauti zao wanapoimba ni sauti za kike
MhhhhhOngea yote ila issue ya kutoboa masikio na pua tuache Tu mkuu
KabisaMchele Mchele Huyo
Naunga mkono hoja ππHapo jamaa wanataka kushika tako sasa sijui atamind au lah