msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Hapo jiandae kuombwa hela!!Kwanini watu wengi wanapenda kuita mtu tajiri tajiri .
Unakuta hata hawakujui . Kumbe huna hata kitu
Hili swala liko common kwa wanaume.
Kwanini mnapenda kuita hivo wakuu.?
Sio kila mtu anapenda kusifiwa