Tabia ya watu kuitana 'tajiri'

Tabia ya watu kuitana 'tajiri'

Nimewahi kuombwa gari na mtu hapo Coco beach nikamsaidie kuibusti gari yake iliyoshindwa kuwaka, miaka ambayo hata sikuwa namiliki gari 🙌

Baada ya miaka 2 nikaja kununua gari yangu ya kwanza kwenye maisha yangu 💪

Maneno huumba hasa ukimnenea mtu vizuri ama vibaya🤗

Tajiri nifanyie mpango wa hela ya Supu hapo Samaki Samaki 😜
 
Nimewahi kuombwa gari na mtu hapo Coco beach nikamsaidie kuibusti gari yake iliyoshindwa kuwaka, miaka ambayo hata sikuwa namiliki gari 🙌

Baada ya miaka 2 nikaja kununua gari yangu ya kwanza kwenye maisha yangu 💪

Maneno huumba hasa ukimnenea mtu vizuri ama vibaya🤗

Tajiri nifanyie mpango wa hela ya Supu hapo Samaki Samaki 😜
Kwamba tajiri vipi niaomba unidaidie ki boost gari yangu na huna gari aisee ninavyojijua mimi pangekekuwa ugomvi😄
 
Kwamba tajiri vipi niaomba unidaidie ki boost gari yangu na huna gari aisee ninavyojijua mimi pangekekuwa ugomvi😄
Ni tukio la muda mrefu lakini hadi leo hii huwa nalitafakari

Alikuja jamaa ambaye Kwa wakati huo alinizidi umri kama miaka 12 ama zaidi

Akanisalimia kisha akawasilisha ombi lake

Miaka hiyo hata huu mtindo wa kuning'iniza funguo kwenye suruali hata hakuna.

Enzi hizo hata dalili ya kuwa ningekuja kupata pata mwili kidogo hata Sina

Nikawa najiuliza jamaa ameniona wapi nina gari

Aliniomba sana akisisitiza ameona nina gari nimepaki maeneo ya karibu pale, anaomba hata betri akaboost gari yake

Yule jamaa aliondoka akinilaumu sana, haamini kama sikuwa na gari

Mwenzake nilifika Coco-beach Kwa kupanda daladala sijui hiyo gari aliona wapi naendesha ama nashuka

Maana enzi hizo hata hizi Uber/bolt hata hakuna zaidi ya uwepo wa Tax pekee 🙌
 
nadhani ni namna ya kuheshimiana tu kama ambavyo kuna misemo mingi sehemu zingine kama vile
  1. Mzee/Mzee baba
  2. mkuu
  3. Chief
  4. kiongozi
  5. sheikh
  6. Mkubwa
  7. Bigi
  8. kaka Mkubwa au kaka
  9. Kamanda
  10. poti
  11. Familia
Na mengine mengi, wacha tufarijiane mkuu , haya maisha ni magumu sana sometimes
 
Ni tukio la muda mrefu lakini hadi leo hii huwa nalitafakari

Alikuja jamaa ambaye Kwa wakati huo alinizidi umri kama miaka 12 ama zaidi

Akanisalimia kisha akawasilisha ombi lake

Miaka hiyo hata huu mtindo wa kuning'iniza funguo kwenye suruali hata hakuna.

Enzi hizo hata dalili ya kuwa ningekuja kupata pata mwili kidogo hata Sina

Nikawa najiuliza jamaa ameniona wapi nina gari

Aliniomba sana akisisitiza ameona nina gari nimepaki maeneo ya karibu pale, anaomba hata betri akaboost gari yake

Yule jamaa aliondoka akinilaumu sana, haamini kama sikuwa na gari

Mwenzake nilifika Coco-beach Kwa kupanda daladala sijui hiyo gari aliona wapi naendesha ama nashuka

Maana enzi hizo hata hizi Uber/bolt hata hakuna zaidi ya uwepo wa Tax pekee 🙌
Oyaah sio pw anyway ali ku motivate kuwa na gari
 
kuitwa boss, tajiri au mkuu ni ishara njema kwa anaeitwa.

sio kila mtu anaweza itwa hivyo
Screenshot_20241010-112815.jpg
 
Mara nyingi wafanyabiashara wanapenda kutumia hilo neno ili kumvutia na kumshawishi mteja (tajiri)
Upo sahihi nimefanya biashara takribani miaka saba Sasa Yan huwa nishazoea wateja wangu kuwaita "mkuu, tajiri, ofisa" ili kuwa fanya wajisikie vizuri kwo hadi kwa wengne najikuta natumia hvo hvo
 
Kwanini watu wengi wanapenda kuita mtu tajiri tajiri. Unakuta hata hawakujui. Kumbe huna hata kitu

Hili swala liko common kwa wanaume. Kwanini mnapenda kuita hivyo, wakuu? Sio kila mtu anapenda kusifiwa.
Unajua tajiri kuna utajiri wa aina nyingi
Utajiri wa ndumba
Utajiri wa rohombaya
Utajiri wa majungu
Utajiri wa nanihiinknk
 
Kwanini watu wengi wanapenda kuita mtu tajiri tajiri. Unakuta hata hawakujui. Kumbe huna hata kitu

Hili swala liko common kwa wanaume. Kwanini mnapenda kuita hivyo, wakuu? Sio kila mtu anapenda kusifiwa.
Unajua tajiri kuna utajiri wa aina nyingi
Utajiri wa ndumba
Utajiri wa rohombaya
Utajiri wa majungu
Utajiri wa nanihiinknk
 
Kwanini watu wengi wanapenda kuita mtu tajiri tajiri. Unakuta hata hawakujui. Kumbe huna hata kitu

Hili swala liko common kwa wanaume. Kwanini mnapenda kuita hivyo, wakuu? Sio kila mtu anapenda kusifiwa.
Hiyo ni tabia ya watu maskini,anakuita tajiri ili umnunulie bia,pombe sio chakula.ni wacongo walituambukiza.
Unaitwa tajiri kama una hela ya bia 2 mnagawana na mjinga huyu ukimwendekeza.
Mwingine nilimkaribisha nyumbani apumzike akaiba euro 2000.
 
Back
Top Bottom