Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Nyie wa dini ya mwarabu huwa mnajiona keki sana.Acha kuingiza uislamu kwenye huo upuuzi na upumbavu wenu.
Hiki ndio kizazi cha nyoka. Badala ya waumini kubadilika na kufuata taratibu na miongozo ya inada. Ibada ndio inatakiwa kufuata ratiba za watu. No wonder siku hizi mdada anatoka kanisani kisha anaenda kuopolewa na waleviHabari wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo
Usomaji wa matangazo ya week,
Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale
Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,
Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k
Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina
Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,
Asanteni
Hahahaha Azania front ... Ukifika hapo Luther house nenda kwenye Ile cafeteria pale chini ya Mzee shayo mwambie akupe breakfast Kwa jina langu!Nifute surual yangu kesho nikajumuike na waamini wa Azania Front DSM, secretarybird ushatoa tithing ni kesho Azania Front.......
Neno la Mungu
Takata....
Lililo tokaa mbingunii
Ambapo moto na kutu haviwezi kuliishinda
Twakushika siku zote maishani na kufani!
Ratiba inapangwa na makao makuu na nilazima ifuatwe, KKKT ni kama mkusanyiko na kila kikundi kinapanga yake, mfano baadhi misa ya Jumapili inaanza saa 12 asubuhi mpaka saa tatu kisha inaingia misa ya pili, lakini wengine inaanza saa 1 asubuhi na ni misa moja tu.Wakatoliki bhana π kwahy mkiwa na mpangilio wa kanisa moja ndo mnaambiwa wote mtoke mapema? π
Ishu n uongozi tuu na sio umoja huo unaoutaka mana ht familia tuu ina kiongozi.
Mechi zote ni dakika 90 tu, ikizidi imo kwenye ratiba kufuatana na mamlaka na si utashi wa refa.Mpira ni dakika 90 kwenye baadhi ya mechi zinaenda hadi 120 + matuta hivyo kuwa mvumilivu, halafu walalamishi hawatoagi hata sadaka kmmk.
Amina Amina mtumishi...... Bwana Yesu asifiwe, unataka nioshe vyombo eeh π πHahahaha Azania front ... Ukifika hapo Luther house nenda kwenye Ile cafeteria pale chini ya Mzee shayo mwambie akupe breakfast Kwa jina langu!
Usisahau kubeba TUMWABUDU Mungu
Huwezi kuosha vyombo! Labda iwe si Mzee shayo anayeendelea kufanya kazi hapo!Amina Amina mtumishi...... Bwana Yesu asifiwe, unataka nioshe vyombo eeh π π
Hivi makanisa ya mjini km st Joseph na Azania Front hata st Albans posta waumini wake wanaishi hapo hapo mjini ?
Maake nilishangaa kuona mtu anatoka ety africana kwenda kusali huko na ndo ratiba yake mwingine namjua naye kimara kuja kusali mjini! Huko kote sii wanaovuka makanisa?
Hahaha mimi sio muumini wa Azania Front Ila nimewahi sali hapo, mm ni muumini wa romanHuwezi kuosha vyombo! Labda iwe si Mzee shayo anayeendelea kufanya kazi hapo!
Watu Wana madhabahu zao wanazifata mkuu π
Amen Amen......Msalimie Mch Mwaipopo
Roman parokia Gani!Hahaha mimi sio muumini wa Azania Front Ila nimewahi sali hapo, mm ni muumini wa roman
Hahaha ndo utoke tegeta kuja mjini π
Macmillan kolbe Mwenge,Roman parokia Gani!