Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
6,585
Reaction score
10,363
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
 
Toka jumatatu mpaka jmos ni siku ya kutafuta.
siku pekee ya mapumziko ni hiyo hiyo jpili.
Ni siku hiyo hiyo inakua na ibada ndefu.
Ndio maana idadi ya watu wanao lala makanisani ni kubwa.
Na kuna wengine hamu ya kwenda kanisani imeisha.
watu wanakwenda kanisani kwa matukio maalumu kama jtano ya majivu,.nk
 
Sahihi kabisa, mm nasali KKKT Manzese, ibada inaanza saa moja afu kutoka n saa 5:30 huko.

Mambo yanayofanyika n upuuzi tuu.
Kwanza, saa 1:00 - 1:30 ni muda wa kusubiri wachelewaji, yn mchungaji kabisa anasema huo n muda wa kusubiri wale ambao bado hawajafika kanisani.

Pili, kwenye matangazo lazima mchungaji awe na matangazo yake binafsi na mengine tayari yalishasomwa ila atayarudia tena yn kama vile waumini n watoto wadogo kwamba wanasahau hapo hapo. Kila siku matangazo yale yale ad muda wa kuingia kanisani bado mtaambiwa kuwa n saa moja.

Tatu, tukio hadi la mwaka jana bado litasemwa mwaka huu mwezi wa tatu, mfano mwisho wa mwaka huo kuna siku maalum ya sadaka ya mavuno, ila hy sadaka itasemwa kila siku hata miezi sita ipite.

Nne, mzunguko wa kutoa sadaka ni wa kupoteza muda kinoma, kuna sadaka ya jengo na uwakili hizi sadaka zinatolewa kwenye bahasha hvy n mzunguko mmoja ila wanalazimisha iwe mizunguko miwili.

Yn mm vitu vya maana naona havizidi hata saa 3.
 
Me mwenyewe ni miongoni mwa hao tunaoondoka kabla ya ibada kuisha.
Yani kuna upuuzi mwingi ambao hauna maana,michango ndo usiseme..
Eti ooh sadaka ya kumshukuru mchungaji kwa neno tamu la siku ya leo,najiuliza huyo mchungaji si ndio kazi yake hiyo na analipwa mshahara!
 
Watu wako mbele ya muda... Ibada imesema ni 2 or 3 hrs wewe unazidisha muda maana yake hujitambui hata Mungu hapendi kuchezea muda ndio maana watu wanaondoka kabla ya ibada kuisha...
Ni kama vile ukiona mtu ana swali swala 5 ujue huyo ni masikini wa akili na roho...
 
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani
 
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
Tatizo KKKT haina mpangilio wa kanisa moja, kila ushirika unaendesha mambo yake bila ratiba na hujikuta kuwa na mambo mengi yasiyo na tija kwa waumini, ukija kwenye mpangilio wa kwaya, hapo kuna tatizo baadhi ya ushirika kwani ikisimamishwa kwaya inaweza kuchukua dakika zisizopungua sita ndipo wanaanza kuimba, wakimaliza zitapotezwa dakika nyingine tisa ili kwaya nyingine ianze kuimba!
Kwa kifupi ni kanisa lisilo na ratiba madhubuti ya kuanza na kumaliza misa ya kwanza ili misa ya pili ianze, mathlani misa ya kwanza inaanza saa kumi na mbili hadi saa tatu asubuhi, utakuta inaendelea mpaka saa tatu na nusu au nne kasorobo!
Kanisa ninalosali aliwahi kuja kiongozi toka makao makuu na kushauri jinsi ya kutumia muda vizuri lakini ushauri huo haukusikilizwa.
 
Me mwenyewe ni miongoni mwa hao tunaoondoka kabla ya ibada kuisha.
Yani kuna upuuzi mwingi ambao hauna maana,michango ndo usiseme..
Eti ooh sadaka ya kumshukuru mchungaji kwa neno tamu la siku ya leo,najiuliza huyo mchungaji si ndio kazi yake hiyo na analipwa mshahara!
Licha ya kulipwa nae ni sehemu yake ya ibada ivo sio lazima kuchangiwa
 
Watu wako mbele ya muda... Ibada imesema ni 2 or 3 hrs wewe unazidisha muda maana yake hujitambui hata Mungu hapendi kuchezea muda ndio maana watu wanaondoka kabla ya ibada kuisha...
Ni kama vile ukiona mtu ana swali swala 5 ujue huyo ni masikini wa akili na roho...
Acha kuingiza uislamu kwenye huo upuuzi na upumbavu wenu.
 
Muabuduni Bwana katika Roho na Kweli.

Mtu wiki nzima pengine haujaenda Kanisani, ila kutulia nyumbani mwa Bwana 4hrs ule, unywe na ushibe chakula cha kiroho unaona unapotezewa muda, hebu jitafakari upya.

Kanisa ni Taasisi, hivyo nje ya kupata Neno la uzima, lazima kuwe na vikao, mashauriano, maonyo, matangazo ya hapa na pale, n.k ndipo mambo yataenda vizuri.


Enendeni kati Roho, msienendende ktk tamaa za mwili (ikiwemo mali) maana hizo kamwe hamtazitimiza.
 
Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k
Baadhi ya maeneo wameongeza
  1. Kuombea watoto na sadaka ya kusindikizia maombi
  2. Praise
  3. Sadaka round 3: sadaka ya mtaa, sadaka ya shukrani ya wiki, sadaka ya ahadi na jengo
 
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
WAKRISTO NI WAPUMBAVU ....KWENYE UKRISTO WA KWELI HAKUNA MUDA WA IBADA KUANZA WALA KUISHA BALI INATEGEMEA NA MTU MWENYEWE ....HUU UKRISTO ULIOPO DUNIANI LEO SIYO KABISA ULE ULIOKUWEPO ZAMANI KABLA YA KUJA KWA MADHEHEBU YA DINI....IBADA NI SIRI YA MTU MOYONI MWAKE NA MUNGU WAKE ...KASOMENI VIZURI HIZO DINI ZENU ...Kasomeni kisa cha 👉( mama yake Nabii samweli na mkuu wa dini) ...namna alivyo mdhani huyo mama kuwa ni mlevi kwa sababu zamani watu walikutanika ibadani na kila mtu alifanya ibada ya siri ya moyo wake na Mungu wake na kuondoka tofauti na sasa...
👉WAPUMBAVU HADI MNASALISHANA 👈 kusalishana ni dhambi kubwa sana kwa anaye Sarisha na anaye kubali kusarishwa.....tumieni akili.....ndiyo maana ndani ya uislamu kuna kuswarishana 👉 ni tendo la KISHETANI MBELE ZA MUNGU WA KWELI. Kama hamjui kivipi niulizeni.
 
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
Hata ibada ya kufunga ndoa inatakiwa iunganishwe kwenye ibada tu mana hakuna cha ajabu kwenye kufungisha ndoa
 
Tatizo KKKT haina mpangilio wa kanisa moja, kila ushirika unaendesha mambo yake bila ratiba na hujikuta kuwa na mambo mengi yasiyo na tija kwa waumini, ukija kwenye mpangilio wa kwaya, hapo kuna tatizo baadhi ya ushirika kwani ikisimamishwa kwaya inaweza kuchukua dakika zisizopungua sita ndipo wanaanza kuimba, wakimaliza zitapotezwa dakika nyingine tisa ili kwaya nyingine ianze kuimba!
Kwa kifupi ni kanisa lisilo na ratiba madhubuti ya kuanza na kumaliza misa ya kwanza ili misa ya pili ianze, mathlani misa ya kwanza inaanza saa kumi na mbili hadi saa tatu asubuhi, utakuta inaendelea mpaka saa tatu na nusu au nne kasorobo!
Kanisa ninalosali aliwahi kuja kiongozi toka makao makuu na kushauri jinsi ya kutumia muda vizuri lakini ushauri huo haukusikilizwa.
Wakatoliki bhana 😂 kwahy mkiwa na mpangilio wa kanisa moja ndo mnaambiwa wote mtoke mapema? 😂
Ishu n uongozi tuu na sio umoja huo unaoutaka mana ht familia tuu ina kiongozi.
 
Habari wakuu,

Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),

Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo

Usomaji wa matangazo ya week,

Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale

Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,

Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k

Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina

Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,

Asanteni
Ibada ya Kilutheri ni masaa mawili na nusu.
Wachungaji wengi hawazingatii time management ndio maana utakuta tangazo linarudiwa mara 5...kwaya zinaimba mara tatu tatu
 
Back
Top Bottom