Tabia ya wazazi kutelekeza watoto kwa babu, bibi yashika kasi Mkoani Njombe

Tabia ya wazazi kutelekeza watoto kwa babu, bibi yashika kasi Mkoani Njombe

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Tabia ya Watoto kutelekezwa kwa babu na bibi bila kujaliwa na wazazi wao imeonekana kushamiri Mkoani Njombe.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Willfred Willa anasema watoto wengi wanaopata madhara ni wale ambao wanalelewa na bibi na babu zao huku wazazi wengi wakiwa na migogoro, majukumu, afya au vifo.

“Hata watoto wanaobakwa wengi wao wanaishi na babu na bibi ukiwauliza baba na mama wako wapi watakwambia wapo Dar es Salaam, au anakwambia yupo mjini au anakwambia hamjui,” anasema Willa

Afisa wa Ustawi wa Jamii, Petro Mahanza anasema hali hiyo imekithiri mkoani hapo, wanachofanya ni kuendelea kutoa elimu kwa wazazi kutoa huduma ili kutengeneza kizazi bora cha baadaye.


Source: Azam TV
 
Tabia ya Watoto kutelekezwa kwa babu na bibi bila kujaliwa na wazazi wao imeonekana kushamiri Mkoani Njombe.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Willfred Willa anasema watoto wengi wanaopata madhara ni wale ambao wanalelewa na bibi na babu zao huku wazazi wengi wakiwa na migogoro, majukumu, afya au vifo.

“Hata watoto wanaobakwa wengi wao wanaishi na babu na bibi ukiwauliza baba na mama wako wapi watakwambia wapo Dar es Salaam, au anakwambia yupo mjini au anakwambia hamjui,” anasema Willa

Afisa wa Ustawi wa Jamii, Petro Mahanza anasema hali hiyo imekithiri mkoani hapo, wanachofanya ni kuendelea kutoa elimu kwa wazazi kutoa huduma ili kutengeneza kizazi bora cha baadaye.


Source: Azam TV
Inasikitisha sana
 
Kwahiyo unataka watu waendelee kubaki kijijini tu wakilima hata baada ya kuwa mjini fursa za umachinga kibao?
 
Sio Njombe tu, ugumu wa maisha kwa waafrika ndio chanzo.

Naamka SAA 11 asbh naenda kibaruani hadi SAA 5 usiku kila siku hadi jumapili hapo mtoto si bora akakae kwa bibi tu!

Maisha tumetofautiana. Aliyeshiba anaweza kuropoka chochote.
 
Tabia ya Watoto kutelekezwa kwa babu na bibi bila kujaliwa na wazazi wao imeonekana kushamiri Mkoani Njombe.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Willfred Willa anasema watoto wengi wanaopata madhara ni wale ambao wanalelewa na bibi na babu zao huku wazazi wengi wakiwa na migogoro, majukumu, afya au vifo.

“Hata watoto wanaobakwa wengi wao wanaishi na babu na bibi ukiwauliza baba na mama wako wapi watakwambia wapo Dar es Salaam, au anakwambia yupo mjini au anakwambia hamjui,” anasema Willa

Afisa wa Ustawi wa Jamii, Petro Mahanza anasema hali hiyo imekithiri mkoani hapo, wanachofanya ni kuendelea kutoa elimu kwa wazazi kutoa huduma ili kutengeneza kizazi bora cha baadaye.


Source: Azam TV
Sio Njombe tuu iko kila mkoa.
 
Back
Top Bottom