Tabia yake ilimponza akaharibu meeting

Tabia yake ilimponza akaharibu meeting

Ningelikuwa wewe ningemwambia naomba tupange meeting siku nyingine maana leo uko busy sana na simu na nisingependa kukuharibia halafu ningempa kumi tuu ya nauli nikaondoka! Na nisinge thubutu kumtumia sms mpaka yeye anitafute!
Kama angelinitafuta ningemuleza wazi kuwa i hate that habit na siwezi kuhimiri na nimrhisi kudharirishwa na yeye!

Kimsingi hii tabia mtu anaweza kuiacha kama kweli yuko serious na wewe… maana wanawake wengi wanayo hata wakienda kwenye mikusanyiko wao ni kuchati tuuu wao ni simu tuu na kuomba charger……
Binafsi nachukia sana hii tabia
 
Ningelikuwa wewe ningemwambia naomba tupange meeting siku nyingine maana leo uko busy sana na simu na nisingependa kukuharibia halafu ningempa kumi tuu ya nauli nikaondoka! Na nisinge thubutu kumtumia sms mpaka yeye anitafute!
Kama angelinitafuta ningemuleza wazi kuwa i hate that habit na siwezi kuhimiri na nimrhisi kudharirishwa na yeye!
Kweli mkuu, ila kwa mtu ambaye siyo muelewa anaweza akalichukulia negatively na kuona kuwa wewe ni mkorofi na mwenye hasira. Siku hizi ukitoa maelekezo sana wanasema "mwanaume ana gubu huyu!!".
 
Ooh, kumbe ilikuwa makusudi? 🤔

lakini hayo maneno mbona yanaonekana kama ni ya kushindwa hivi!!? najua aliyepigwa huwa hasemi amepigwa. Husema yeye ndiye kapiga! 😁

Asiyetaka kupoteza muda, hata kuja asingekuja kabisa. We ukaja na hilo komwe! 😆
Mtu mwenyewe nliona tu umekaa kianalog tusingeendana pole kwa matumaini uliyoondoka nayo ya kuniacha🤣🤣🤣🤣
 
Ooh, kumbe ilikuwa makusudi? 🤔

lakini hayo maneno mbona yanaonekana kama ni ya kushindwa hivi!!? najua aliyepigwa huwa hasemi amepigwa. Husema yeye ndiye kapiga! 😁

Asiyetaka kupoteza muda, hata kuja asingekuja kabisa. We ukaja na hilo komwe! 😆
Mtu mwenyewe nliona tu umekaa kianalog tusingeendana pole kwa matumaini uliyoondoka nayo ya kuniacha🤣🤣🤣🤣
 
Mtu mwenyewe nliona tu umekaa kianalog tusingeendana pole kwa matumaini uliyoondoka nayo ya kuniacha🤣🤣🤣🤣
Hahah senzi tye!
Kwanza ninawashukuru sana mashoga zako, waliniokoa. Hata hivo nilivumilia tu sijui ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kufanyiwa meeting!? 😁 Zile kope ulibandika mchana au usiku? 😆 Na kile ki-skirt ulikichukua kwa fundi hakijaisha? 😂 Maana ulikuwa mtu wa ajabu kweli, hadi nikasikia muhudumu pembeni akisema 'Leo kaka wa watu kaokota kimdoli'. 😂
 
Kweli mkuu, ila kwa mtu ambaye siyo muelewa anaweza akalichukulia negatively na kuona kuwa wewe ni mkorofi na mwenye hasira. Siku hizi ukitoa maelekezo sana wanasema "mwanaume ana gubu huyu!!".
Kwa nilichojifunza kwenye maisha yaha ya mahusiano ni kuwa wanawake wanatumia neno “gubu” dhidi ya wanaume ili kuficha madhaifu yao na wanalitumia neno hilo kuzuia wanaume tusiseme na tufunge mdomo na furaha ya mwanamke nikuona mwanaume ana nyamaza tuu akemei wala aonyi kabisa hapo ndio utaonekana mstaarabu sana sasa ukiwa mtu wa kuto acha jambo linalokukera lipite basi neno gubu lazima likukumbe!

Bahati mbaya tabia hii ya kuchati au kutumia simu sehemu ambazo sio lazima au haitakiwi tunazo hata sisi wanaume lakini nimegundua kuwa sisi wanaume ni rahisi sana kuacha hii tabia kuliko wanawake walio wengi….
 
Hahah senzi tye!
Kwanza ninawashukuru sana mashoga zako, waliniokoa. Hata hivo nilivumilia tu sijui ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kufanyiwa meeting!? 😁 Zile kope ulibandika mchana au usiku? 😆 Na kile ki-skirt ulikichukua kwa fundi hakijaisha? 😂 Maana ulikuwa mtu wa ajabu kweli, hadi nikasikia muhudumu pembeni akisema 'Leo kaka wa watu kaokota kimdoli'. 😂
Mkuu pengine wewe mgeni Jf? Usipoteze muda ukadhani unayepambana nae ndiye muhusika…jf imejaa vituko…huyo pengine yuko yombo hapo chini ya mti ana ku enjoy tuu..,,,
 
Hahah senzi tye!
Kwanza ninawashukuru sana mashoga zako, waliniokoa. Hata hivo nilivumilia tu sijui ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kufanyiwa meeting!? 😁 Zile kope ulibandika mchana au usiku? 😆 Na kile ki-skirt ulikichukua kwa fundi hakijaisha? 😂 Maana ulikuwa mtu wa ajabu kweli, hadi nikasikia muhudumu pembeni akisema 'Leo kaka wa watu kaokota kimdoli'. 😂
Maisha mdogo mdogo wewe achana na t shirt yangu zingatia kilichokuwa ndani yake......
 
Mkuu pengine wewe mgeni Jf? Usipoteze muda ukadhani unayepambana nae ndiye muhusika…jf imejaa vituko…huyo pengine yuko yombo hapo chini ya mti ana ku enjoy tuu..,,,
😅😅😅😅😅😅😅 anakimbiza hewa au sio⁰
 
Mwanaume unazidiwa akili na demu 😂😂😂 tatizo hamna kauli za mamlaka hivyo dem anaona kama yupo na shost ake
 
Kwa nilichojifunza kwenye maisha yaha ya mahusiano ni kuwa wanawake wanatumia neno “gubu” dhidi ya wanaume ili kuficha madhaifu yao na wanalitumia neno hilo kuzuia wanaume tusiseme na tufunge mdomo na furaha ya mwanamke nikuona mwanaume ana nyamaza tuu akemei wala aonyi kabisa hapo ndio utaonekana mstaarabu sana sasa ukiwa mtu wa kuto acha jambo linalokukera lipite basi neno gubu lazima likukumbe!

Bahati mbaya tabia hii ya kuchati au kutumia simu sehemu ambazo sio lazima au haitakiwi tunazo hata sisi wanaume lakini nimegundua kuwa sisi wanaume ni rahisi sana kuacha hii tabia kuliko wanawake walio wengi….
Sisi wanaume wengi tunajielewa sana, wanawake ni wachache.
 
Mkuu pengine wewe mgeni Jf? Usipoteze muda ukadhani unayepambana nae ndiye muhusika…jf imejaa vituko…huyo pengine yuko yombo hapo chini ya mti ana ku enjoy tuu..,,,
Kweli kaka, mi pia nimemuwekea jokes tu. 😂
 
Mwanaume unazidiwa akili na demu 😂😂😂 tatizo hamna kauli za mamlaka hivyo dem anaona kama yupo na shost ake
😆😆 Chizi kweli! Nianze kufura kama nakutana na mbogo!
 
Habari za muda huu wakuu? Ninaimani mnaendelea poa, lakini poleni kwa wale mnaokabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo 'Kiafya' na nina imani mtarejea katika utimamu.

Wakuu, katika kuhakikisha tunapashana na kupeana yale yanayoweza kutuongezea elimu na kutusogeza mbele, leo nashuka na uzi huu.

Niliwahi kufanya meeting na dada mmoja ili tu tuweze kujuana vizuri japo kwa machache vile mimi nilikuwa katika muda wa kutafuta mwenza.
Siku ya meeting katika hoteli fulani Jijini Mwanza, nilikutana na huyo dada ila meeting haikuenda sawa. Kiukweli sikupendezwa na vile alivyokuwa akifanya pale, coz toka tulipofika muda wote alikuwa akiongea na simu, tena za mashoga zake. Tukiongea maneno mawili matatu, tayari kashapiga simu. Nilighafilika sana.

Mimi sikutaka kuonekana nimekerekwa. Wakati akiongea na simu, nilifungua simu yangu nikatafuta jina la mtu wangu wa karibu kabisa. Nikamtumia sms nikimwambia afanye kunipigia kama simu ya dharura halafu aniambie nahitajika ofisini haraka.

Nilifanya hivo ili tu nipate kumkwepa yule dada. Kiukweli nilifanikiwa, rafiki yangu alinipigia na nikaweka Loud Speaker
🔊
ili yule dada asikie.

Baada ya hapo, niliinuka nikachua waleti yangu nikatoa 15k kisha nikampa yule dada kwa ajili ya nauli na muda wake nilioupoteza kumuita aje pale. Japo alipokuwa akitokea si mbali sana na tulipokuwa.

Yule dada niliona amebadilika ghafla kashikwa na huzuni, simu yake akaifunga na kuiweka kwenye mkoba wake kisha akanishika mkono wa kulia na kuniuliza ni lini tena tutakutana pale, nami nikamwambia 'Tuombe uzima' kisha nikamuacha, sikutaka kumsindikiza hadi kwenye usafiri coz nisingependa nijue atataka atumie usafiri gani.

Toka siku hiyo.. Siku ya kwanza nilituma meseji 10, siku ya pili meseji 5, siku ya tatu meseji 2, siku iliyofuata meseji 0 na hadi leo sijawahi mtafuta kabisa.
Toka hapo nikasema 'Tabia zetu za wazi ndio hufanya tusonge au tusisonge mbele'.

Kuna kitu inaitwa 'Perception'. The way unakutana na mtu mara ya kwanza unam-study, ndio 70% ya mambo/tabia yake ya muda wote.
Jamani, kuna tabia hatuna budi kuzi-balance.

Kauli yangu huwa ni moja. "Usiogope kupoteza wakati ukitafuta kitu sahihi".

Ahsanteni wakuu!
Huyo dada unayemsema hujamkomoa alishaolewa na anaendelea na maisha yake kama kawa.
Kila mtu apambane na life lake.
 
Habari za muda huu wakuu? Ninaimani mnaendelea poa, lakini poleni kwa wale mnaokabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo 'Kiafya' na nina imani mtarejea katika utimamu.

Wakuu, katika kuhakikisha tunapashana na kupeana yale yanayoweza kutuongezea elimu na kutusogeza mbele, leo nashuka na uzi huu.

Niliwahi kufanya meeting na dada mmoja ili tu tuweze kujuana vizuri japo kwa machache vile mimi nilikuwa katika muda wa kutafuta mwenza.
Siku ya meeting katika hoteli fulani Jijini Mwanza, nilikutana na huyo dada ila meeting haikuenda sawa. Kiukweli sikupendezwa na vile alivyokuwa akifanya pale, coz toka tulipofika muda wote alikuwa akiongea na simu, tena za mashoga zake. Tukiongea maneno mawili matatu, tayari kashapiga simu. Nilighafilika sana.

Mimi sikutaka kuonekana nimekerekwa. Wakati akiongea na simu, nilifungua simu yangu nikatafuta jina la mtu wangu wa karibu kabisa. Nikamtumia sms nikimwambia afanye kunipigia kama simu ya dharura halafu aniambie nahitajika ofisini haraka.

Nilifanya hivo ili tu nipate kumkwepa yule dada. Kiukweli nilifanikiwa, rafiki yangu alinipigia na nikaweka Loud Speaker
[emoji344]
ili yule dada asikie.

Baada ya hapo, niliinuka nikachua waleti yangu nikatoa 15k kisha nikampa yule dada kwa ajili ya nauli na muda wake nilioupoteza kumuita aje pale. Japo alipokuwa akitokea si mbali sana na tulipokuwa.

Yule dada niliona amebadilika ghafla kashikwa na huzuni, simu yake akaifunga na kuiweka kwenye mkoba wake kisha akanishika mkono wa kulia na kuniuliza ni lini tena tutakutana pale, nami nikamwambia 'Tuombe uzima' kisha nikamuacha, sikutaka kumsindikiza hadi kwenye usafiri coz nisingependa nijue atataka atumie usafiri gani.

Toka siku hiyo.. Siku ya kwanza nilituma meseji 10, siku ya pili meseji 5, siku ya tatu meseji 2, siku iliyofuata meseji 0 na hadi leo sijawahi mtafuta kabisa.
Toka hapo nikasema 'Tabia zetu za wazi ndio hufanya tusonge au tusisonge mbele'.

Kuna kitu inaitwa 'Perception'. The way unakutana na mtu mara ya kwanza unam-study, ndio 70% ya mambo/tabia yake ya muda wote.
Jamani, kuna tabia hatuna budi kuzi-balance.

Kauli yangu huwa ni moja. "Usiogope kupoteza wakati ukitafuta kitu sahihi".

Ahsanteni wakuu!
Huyo alikuwa kichwa maji. Afadhali angekuwa anapigiwa, lakini yeye ndio anawapigia?!
 
Back
Top Bottom