Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mkuu huwa unapenda Sana masuala ya dini na udini..... something is not right in your persona.Swala la mabosi kupenda umbea Lina vi element vya udini Ndani yake.
Kuna watu wa dini fulani kutwa wao Ni majungu, fitina na umbea
Karibu Pyongyang hapa North Korea tunaandaa mipango ya kurusha kombora lingine kwenye pwani ya Japan.Kwel baba kim jong bora urudi kurusha makombora ya nuclear
[emoji16][emoji16][emoji16]nmecheka kinoma
Mamy hayo yote siunaelewa tena wengine tuna (Big [emoji3590] heart) hatuna kuwaza ivo vitu.[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji16][emoji1787]
Asee mbavu zangu zinaniuma balaaa
Kosa kubwa usirudie kumkaribisha any staff kuja geto kwako!
Kuna jamaa job hadi alifiwa na mtoto akasema anaumwa anaomba likizo ya 2 weeks! hii yote hataki mazoea na staff wenzie, ( maana anasema yalishamkuta)
Staff ni wachunguzi na kupeleka taarifa kwa mabosi, so usiwaruhusu wakakujua kiviile
Mkuu ungeseti coordinates zingne maana naona kuna watu nchi hii wanatakiwa wafanyiwe automation testingKaribu Pyongyang hapa North Korea tunaandaa mipango ya kurusha kombora lingine kwenye pwani ya Japan.
Litakuwa kombora la Masafa marefu - Intercontinental Ballistic Missile (ICBM).
Karibu Sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787]pole mkuu, nakuombeaMamy hayo yote siunaelewa tena wengine tuna (Big [emoji3590] heart) hatuna kuwaza ivo vitu.
Yan roho ngumu nlionayo sa hv qmamayo[emoji24] joto la jiwe linaendelea kunikaanga yan bastola lazma ninunue aisee
Tuko pamoja mkuu [emoji109][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787]pole mkuu, nakuombea
Mkuu "utoto" kwa kingereza Ni Nini? Nataka Niweke hizi Dislikes zako mahali.Mimi tabia yangu ya Kutopenda Unafiki, Ujinga, Utoto, Upuuzi, Upumbavu, Kujikomba na Kuongopa imenifanya nichukiwe sana kuliko hata Shetani.
Mkuu hao "Maafakers" ni kuachana nao. Mimi nimeshapoteza kazi sehemu kadhaa.Mkuu ungeseti coordinates zingne maana naona kuna watu nchi hii wanatakiwa wafanyiwe automation testing
πππ[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] very truu
Kwa nini iwe ni ya kutunga?!!!Story za kutunga
Mungu Ibariki Tz - MITz
Kirangaa komooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama jina lakoo...Hii kauli muhimu sana.
Wakati naanza kazi Unyamwezini, kuna ofisi nilikuwa nafanya, bosi mtu poa sana nilimuona. Yuko focused kiaina, lakini very approachable.
Sasa siku moja nikaamua kumtembelea ofisini kwake, a sort of "management by walking around",maana kuna watu wengine wanaweza kuwa na issue hawakufuati, lakini ukiwafuata, wanakueleza issues zao.
He, basi nilivyomfuata ofisini kwake, tena wala si kwa nia ya kujipendekeza-I have too much pride for that- ila kumsalimia tu, jamaa alinibadilikia mpaka leo siwezi kusahau.
Aliniangalia akaniuliza, umekuja kufanya nini hapa? Nikasema nimekuja kukusalimia tu. Akasema niko busy saa hizi. Nikasema OOOOK.
Needless to say, miezi michache baadaye nilitafuta sehemu nyingine nikajikata.
Sehemu nyingine hata ukitaka kusalimia watu ni kwa appointment, ama sivyo unaonekana unapotezea watu muda.
So sad! For how long you have been through this situation?Mimi kuna kasehem nlikuwa nimejishkiza miez 3 tu wamenichongea baada ya kuwakarbisha geto walitaka kufaham nnapokaa nkaona haina shaka, wakakuta chupa kazaa za spirit kwenye cabin "ooh jamaa mlevi, jamaa anapenda madem ana boksi la ndom, jamaa atakuwa mpiga dili, jamaa kazini anapendeza zaid ya boss" nkapigwa chini unemployed and broke
Yan ntanunua Bastola 1day...
daah kumbe tuko wengi hum...!!hili swala limewahi nikutaa nikaachaachishwa kazii kwa kushitukizwaaa..
kuja kuchunguzaa bos ni mtu wa sifaa na wakupokea vijimaneno na mtu anayetaka ujipendekezee
sasa hivyo vyote mimi sinaa....!!
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] very truu
Hii ndio tabia yangu mimiMimi mwenyewe nasugua Benchi mwaka sasa Ila Niko poa Sana Tu, wenzangu wote waliojipendekeza wanakula kuku Ila ukiwaona hawana furaha[emoji16][emoji16][emoji16].
Moyo Una Amani na ngozi imejaa mafuta. Kuna mtu alicoment Kwa kidhungu "Uwepo usiwepo Nitashaini Tu, unipende usinipende huwezi ondoa Furaha yangu" . Mimi ndo nipo hivi maana Furaha yangu ni mwiko kushikiliwa na mtu mwingine [emoji41][emoji41]
Duuuh ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji16][emoji1787]
Asee mbavu zangu zinaniuma balaaa
Kosa kubwa usirudie kumkaribisha any staff kuja geto kwako!
Kuna jamaa job hadi alifiwa na mtoto akasema anaumwa anaomba likizo ya 2 weeks! hii yote hataki mazoea na staff wenzie, ( maana anasema yalishamkuta)
Staff ni wachunguzi na kupeleka taarifa kwa mabosi, so usiwaruhusu wakakujua kiviile