Duh yaani wewe kufutwa kazi kampuni ikafa? Kwamba ni coincidence au ulikuwa na umuhimu kuliko members wote wa hio kampuni?Unakuta meneja ana tumbo kubwa lakini anamlamba boss matak*, niligoma mim
Nilikuwa napiga kazi kama chizi mademu wanapeleka umbea napiga wao na kazi nikafutwa kazi kampuni ikafa.
HhhhhhhhDuh yaani wewe kufutwa kazi kampuni ikafa? Kwamba ni coincidence au ulikuwa na umuhimu kuliko members wote wa hio kampuni?
Me mwaka 2012 baingia ofis fulan baada ya kutoka chuo nikafanya mwaka mmoja... katika kuongeza mkataba wakaangalia perfomance nlikua safi, natimiza majukumu yangu ipasavyo... lakini nikaona wanaleta habar za kujuana na mm nikaona isiwe tabu... nikatolewa..Kama kawaida baada ya kumaliza chuo nikaingia mtaani kusota na maisha bahati nzuri nikapata intern kwenye moja ya taasisi za serikali zinazolipa vizuri.
Changamoto ikawa kumbe kwenye taasisi hizi za serikali inatakiwa ufanye kazi kwa bidii bila kusahau kujipendekeza kwa boss.Kwa jinsi nilivyo tabia yangu ya kutopenda kujipendekeza wala kufitini wafanyakazi wenzagu mm nikawa natimiza Majukumu kama kawaida.
Kumbe ilitakiwa niwe naenda hata kumuona boss personly angalau mara moja kwa wiki kumsalimia tu ambavyo wengine hufanya sasa mm nawaza nikamuone manager nimweleze nini Cha zaidi wakati meeting za Kila wiki tunakutana na kila mtu anawasilisha ripoti yake?.
Basi bwana boss akaanza kulalamika ooh sina msaada kwenye office ikabidi nifuatilie kujua ninakwama wapi bassi wadau wakanitonya jipendekeze nenda hata mara moja peleka umbea wowote ule atakukubali tu.
Asikwambie mtu hakuna kazi ngumu Kama kuwa mmbeya eneo la kazi Kama hauna tabia hiyo.
Mm nikasema potelea mbali ilimradi natimiza Majukumu yangu na nipo qualified siwezi kujipendekeza kwenye ofsi hii nitapata kazi hata kwingine.
Mkataba wa intern ukaisha boss Kama kawaida akaaniambia nitafute kazi sehemu nyingine.
Mwamba nikaona siyo kesi nikaingia mtaani nikapata kazi kampuni nyingine ya kibongo aisee kule ndo ikawa balaa bila kuwa mbeya humalizi mwezi unatimuliwa boss anataka kila siku mpishane na wafanyakazi ili apate taarifa mara huyu kapeleka fulani mwizi kaiba mafuta, kifusi.
Daah nikaona pia isiwe kesi nikaacha kazi.Sasa Nina mwaka nasota mtaani nimezunguka kinoma hamna kazi kila Kona patupu wadau wanashauri tafuta hata viongozi wa kisiasa ujipendekeze kazi siku hizi kujuana mm naona wananisumbua tu.Natafuta kazi nikiamini qualifications zangu zitanibeba lakini patupu nimeapply sehemu nyingi hata kuitwa hakuna.
Nikatafuta mpaka sehemu za vibarua patupu. Sasa nawaza hii tabia ya kutojipendekeza nitaachaa vipi maana kubadili tabia ni ngumu kama kubadili ngozi.
Kama kawaida baada ya kumaliza chuo nikaingia mtaani kusota na maisha bahati nzuri nikapata intern kwenye moja ya taasisi za serikali zinazolipa vizuri.
Changamoto ikawa kumbe kwenye taasisi hizi za serikali inatakiwa ufanye kazi kwa bidii bila kusahau kujipendekeza kwa boss.Kwa jinsi nilivyo tabia yangu ya kutopenda kujipendekeza wala kufitini wafanyakazi wenzagu mm nikawa natimiza Majukumu kama kawaida.
Kumbe ilitakiwa niwe naenda hata kumuona boss personly angalau mara moja kwa wiki kumsalimia tu ambavyo wengine hufanya sasa mm nawaza nikamuone manager nimweleze nini Cha zaidi wakati meeting za Kila wiki tunakutana na kila mtu anawasilisha ripoti yake?.
Basi bwana boss akaanza kulalamika ooh sina msaada kwenye office ikabidi nifuatilie kujua ninakwama wapi bassi wadau wakanitonya jipendekeze nenda hata mara moja peleka umbea wowote ule atakukubali tu.
Asikwambie mtu hakuna kazi ngumu Kama kuwa mmbeya eneo la kazi Kama hauna tabia hiyo.
Mm nikasema potelea mbali ilimradi natimiza Majukumu yangu na nipo qualified siwezi kujipendekeza kwenye ofsi hii nitapata kazi hata kwingine.
Mkataba wa intern ukaisha boss Kama kawaida akaaniambia nitafute kazi sehemu nyingine.
Mwamba nikaona siyo kesi nikaingia mtaani nikapata kazi kampuni nyingine ya kibongo aisee kule ndo ikawa balaa bila kuwa mbeya humalizi mwezi unatimuliwa boss anataka kila siku mpishane na wafanyakazi ili apate taarifa mara huyu kapeleka fulani mwizi kaiba mafuta, kifusi.
Daah nikaona pia isiwe kesi nikaacha kazi.Sasa Nina mwaka nasota mtaani nimezunguka kinoma hamna kazi kila Kona patupu wadau wanashauri tafuta hata viongozi wa kisiasa ujipendekeze kazi siku hizi kujuana mm naona wananisumbua tu.Natafuta kazi nikiamini qualifications zangu zitanibeba lakini patupu nimeapply sehemu nyingi hata kuitwa hakuna.
Nikatafuta mpaka sehemu za vibarua patupu. Sasa nawaza hii tabia ya kutojipendekeza nitaachaa vipi maana kubadili tabia ni ngumu kama kubadili ngozi.
Ha ha hawewe ni rastafari??..
Umenifurahisha umekuwa mkweli.Kamwe siwezi kufitini mtu, uongo naweza sema ila ule ambao unanihusu mimi tu, um beya hapana na ni mwiko kwangu
Hio ofisi lazma ina wapigania uhuru tu elimu la 7 wengi? AmaYaan kama unanisemelea Mimi
Hiki ndo kipo ofisin kwetu, usipojipendekeza unapigwa chini
Taasisi yeyote inayo endekeza majungu na umbea hufa mapema Sana. Work hard and smart.Me mwaka 2012 baingia ofis fulan baada ya kutoka chuo nikafanya mwaka mmoja... katika kuongeza mkataba wakaangalia perfomance nlikua safi, natimiza majukumu yangu ipasavyo... lakini nikaona wanaleta habar za kujuana na mm nikaona isiwe tabu... nikatolewa..
Nikaenda ofis ingine ikawa ivo ivo ila wale waliokua wanajipendekeza mambo yao yalikua fresh wanaendelea ama wanapewa branch ....
2014 nikasema siwez kufuata matakwa ya watu... nikaanza mishe zangu...
Kuna wakat mambo yalienda sawa... kuna wakati yalivurugika..... lakini nashukuru am boss of my own... najenga empire yangu.... ukiniletea umbea nakufurusha.... nataka uniletee new idea tujadili namna tutasogea.... ..
So mi nadhan kuna watu wameumbwa hivyo ila mazingira/ mazoea ndo yanaathiri...
Mbaya sana Moyo kuendeshwa na Mahitaji ya Mwili, siku zote Mwili unaachia vidonda Moyo then vidonda vya vinarudisha madhara mwilini.Pole sana kuna sehemu unatakiwa uishi kulingana na mazingira.
Kama natakiwa nijipendekeze ili mambo yangu yaende najipendekeza vizuri tu, cha msingi sivunji sheria za kazi.
Motivate me, support me or get out of my way.Wasanii wa ccm wanakazi asee full kujipendekeza. Hafu rais anasifiwa kinafki anafurahi kanakwamba anapendwa kumbe wanajipendekeza wamrambe pesa.
Nina Law moja maishani mwangu na ninaishika ipasavyo.
With Or without You...I shine.
Love me or Leave me...You can't take away my Destiny.
Na anashindwa kujua kwamba wote wasioipenda hii ndo wamecomment...... maana kama una tabia hiyo huwez kucoment kwamba unapenda....JF ina members 500K+
Hadi kufikia hii comment yako huko juu hawajafika hata members 20 waliocomment....sijui unamanisha nini kuandika kila mtu hapa kasema,yani wewe bhana!!
Kawaida mtu huchangia mada anayo ona inamuhusu, sio kwamba hawatakuwepo kabisa wataokiri kujipendekeza lakini ni obvious hawata kuwa wengi unless iwe ni mada ya siasa ambapo kuna watu hutumwa kutetea bila kujali chochote.Kwa muda niliokaa jf iko hivi... First comment ina impact kwa comments zifuatazo. Usitarajie kuna mtu atakuja kusema yeye ni fundi wa kulamba viatu.
Baadaye wakifika 500K+ waliocomment nitakurudia ushuhudie
Mbaya sana Moyo kuendeshwa na Mahitaji ya Mwili, siku zote Mwili unaachia vidonda Moyo then vidonda vya vinarudisha madhara mwilini.
Kama kawaida baada ya kumaliza chuo nikaingia mtaani kusota na maisha bahati nzuri nikapata intern kwenye moja ya taasisi za serikali zinazolipa vizuri.
Changamoto ikawa kumbe kwenye taasisi hizi za serikali inatakiwa ufanye kazi kwa bidii bila kusahau kujipendekeza kwa boss.Kwa jinsi nilivyo tabia yangu ya kutopenda kujipendekeza wala kufitini wafanyakazi wenzagu mm nikawa natimiza Majukumu kama kawaida.
Kumbe ilitakiwa niwe naenda hata kumuona boss personly angalau mara moja kwa wiki kumsalimia tu ambavyo wengine hufanya sasa mm nawaza nikamuone manager nimweleze nini Cha zaidi wakati meeting za Kila wiki tunakutana na kila mtu anawasilisha ripoti yake?.
Basi bwana boss akaanza kulalamika ooh sina msaada kwenye office ikabidi nifuatilie kujua ninakwama wapi bassi wadau wakanitonya jipendekeze nenda hata mara moja peleka umbea wowote ule atakukubali tu.
Asikwambie mtu hakuna kazi ngumu Kama kuwa mmbeya eneo la kazi Kama hauna tabia hiyo.
Mm nikasema potelea mbali ilimradi natimiza Majukumu yangu na nipo qualified siwezi kujipendekeza kwenye ofsi hii nitapata kazi hata kwingine.
Mkataba wa intern ukaisha boss Kama kawaida akaaniambia nitafute kazi sehemu nyingine.
Mwamba nikaona siyo kesi nikaingia mtaani nikapata kazi kampuni nyingine ya kibongo aisee kule ndo ikawa balaa bila kuwa mbeya humalizi mwezi unatimuliwa boss anataka kila siku mpishane na wafanyakazi ili apate taarifa mara huyu kapeleka fulani mwizi kaiba mafuta, kifusi.
Daah nikaona pia isiwe kesi nikaacha kazi.Sasa Nina mwaka nasota mtaani nimezunguka kinoma hamna kazi kila Kona patupu wadau wanashauri tafuta hata viongozi wa kisiasa ujipendekeze kazi siku hizi kujuana mm naona wananisumbua tu.Natafuta kazi nikiamini qualifications zangu zitanibeba lakini patupu nimeapply sehemu nyingi hata kuitwa hakuna.
Nikatafuta mpaka sehemu za vibarua patupu. Sasa nawaza hii tabia ya kutojipendekeza nitaachaa vipi maana kubadili tabia ni ngumu kama kubadili ngozi.
Mimi mwenyewe nasugua Benchi mwaka sasa Ila Niko poa Sana Tu, wenzangu wote waliojipendekeza wanakula kuku Ila ukiwaona hawana furaha[emoji16][emoji16][emoji16].Mkuu cha msingi huvunji sheria wala kusemea unafki wenzako sioni shida.
Mfano kwenda kumsalimia boss wako kuna shida gani?
Kwanza hapa kila mtu anasema hajipendekezi ni waongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]