Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Sawa mkuu , ngoja ni fatilie pole poleMwisho wa siku tunaishi na ule utu wa ndani, sio muonekano, jaribu kufuatilia utu wake ukoje!
Mkuu lete post yako ya kujenga hoja uone kama hujabaki unajiongelesha mwenyeweWatanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Kwahiyo tuongee chochote tu ili watu wakoment right? This shows how we are educated but still living in an ignorant society. Cha kwanza tubadilishe mindset zetu alafu utaona kila tunachofanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.Mkuu lete post yako ya kujenga hoja uone kama hujabaki unajiongelesha mwenyewe
Wewe oa, ukijikwaa anguka, ukiinuka utajua cha kufanya.Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina
Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..
Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000
Asanteni
Wanyiramba hawana asili ya weupe. Wao ni weusi wenye meno ya kuungua kama Wachaga wa kishumundu. Huyo atakuwa mnyaturu. Tatizo Lenu mnadhani Kila atokaye singida au Kondoa ni mnyirambaNdugu zangu nataka mtakasike. Amina
Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..
Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000
Asanteni
Acha kujitetea kwa kufokewa kidogo tu na Fidel anaetaka watu waishi kama familia yake just live your life maisha ni haya haya.Mkuu lete post yako ya kujenga hoja uone kama hujabaki unajiongelesha mwenyewe
Mkuu ni dada zako nini mbona umewamwagia maua hivi?Wanyiramba kutoka singida mambo haya yatarajie kutoka kwake.
1.watoto watafanana nae
2.watoto watakuwa bright sana darasani.
3.Kama ni mkristo basi kanisani ni Kila jumapili
4.Hapo ni kufa na kuzikana Haina kuachana.
5.unaweza usiwe tajiri sana ila chakula hakitakosa ndani ya nyumba(Wana rizki)
6.Mara nyingi utakuwa na furaha
7.watu wanaweza kusema umerogwa ila ukweli ni utampenda sana.
8.Utafanya mapenzi kwa wiki mara 3.
9.Nyumba itakuwa na amani sana.
10.Ndugu watakutembelea Kila mara.
Mkuu. We mwenyewe jiulize kwanini ulichagua jukwaa hili na si lingine.Kwahiyo tuongee chochote tu ili watu wakoment right? This shows how we are educated but still living in an ignorant society. Cha kwanza tubadilishe mindset zetu alafu utaona kila tunachofanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.
Acha kutisha na kufokea watu Fidel mada ngumu zipo nyingi sana huko kwenye majukwaa mbalimbaliKwahiyo tuongee chochote tu ili watu wakoment right? This shows how we are educated but still living in an ignorant society. Cha kwanza tubadilishe mindset zetu alafu utaona kila tunachofanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.
Acha kujitetea kwa kufokewa kidogo tu na Fidel anaetaka watu waishi kama familia yake just live your life maisha ni haya haya.
Nawajua Wala sio dada zanguMkuu ni dada zako nini mbona umewamwagia maua hivi?
NB: Sina faili lao. Ila umenishawishi nifike singida [emoji16]
Oye! Mapenzi for lifeAkhsante kaka. Tuendelee sasa....
Mapenzi hoyeeeeeeeee........