Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

Ndio maana CCM watatuongoza kwa miaka mingi tu ijayo, hatuko serious na mambo ya msingi.
Hamna popote duniani ambako watu wanadiscuss mambo serious tu otherwise dunia ingejaa watu wenye sonona, presha na magonjwa mengine ya akili. Ndo maana hata leo ndani ya US kwenyewe tunakotegemea watu wako serious na maisha video ya wimbo wa Kim Jong-Un ni no 1 trending tik-tok kuliko maandamano ya kuwasapoti Palestina vyuoni.
 
Nakuoa mapema sana huku napiga chorus ya Z anto
Si sirii nakupenda binti kiziwiii🎶
Moyo wangu umeutekaaa binti kiziwii🎶
Kichwa kinauma mawazoo kwako binti kiziwii🎶
Kweli sura sio roho! 😆 unaniombea mabaya live
 
Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina

Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..

Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000

Asanteni

 
Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina

Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..

Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000

Asanteni
Maharage ya Mbeya..
 
Ndiyo maana kuna watu waliona upuuzi tu kuleta nyuzi zao ambazo zilikuwa heavy.. Nakumbuka kina MALCOM LUMUMBA, Zitto Jr, FRANC THE GREAT, na jamaa kibao siku hizi kimya kabisa.
Kwasababu tumejisahau na kadri tunavyoendelea kuwaajiri na kuwapa platform ignorant people for rating media house nchini maanake bila kutambua tunatengeneza njia ya watu kuanzisha na kuraise irrelevant discussions. And irrelevant discussions will always be a diversion from delicate issues. Na Hawa ignorant people/machawa wanafanya makusudi kuwapotosha watu kwaajili ya kuwafavour au kujipendekeza kwa viongozi. Angalia utitili wa vyombo cha habari na ratiba zao za week nzima🤣🙌
Bila jamii kubadirisha mindsets na mitazamo yetu tutaendelea kuzalisha wasomi in ignorance na hatutapiga hatua yoyote. Najua elimu tuliyonayo inatolewa makusudi ili kuwafanya vijana wasiwe na maono juu ya nchi Yao na kuendelea kulilea kundi flani lililoamua kujimilikisha nchi tangia tunapata uhuru.
We need to change our mindsets towards everything so that We can be able to ask and discuss over significant issues happening in our country. Elimu ya kweli humjenga mtu kimawazo, kiudadisi, kiutafiti na humuondoa uoga pale anapoona mambo yanaenda tofauti katika jamii yake.
 
Mkuu mbona umekata tamaa kiasi hicho?
Kiukweli mkuu mm sioni kama makabila yana nafasi kwa sasa labda kama mtu yupo kijijini la kama mishe zako ni town, me huwa nawaona wote wanaswaga sawa tu kwa sababu ya umjini. Nadhani wa vijijini ndio watakua na zile tamaduni za kikabila unaweza chagua kulingana na kabila lake.

Mfano mkuu upo town umempata mtoto mwenye degree unadhani huyo atasomeka kwa kabila lake? Hapana mkuu me nadhani huyo atasomeka kwa yeye jinsi alivyo. Maana hadi kufika chuo kikuu kesha kua diluted vya kutosha

Nikosoe kama sipo sawa
 
Wanyiramba kutoka singida mambo haya yatarajie kutoka kwake.
1.watoto watafanana nae
2.watoto watakuwa bright sana darasani.
3.Kama ni mkristo basi kanisani ni Kila jumapili
4.Hapo ni kufa na kuzikana Haina kuachana.
5.unaweza usiwe tajiri sana ila chakula hakitakosa ndani ya nyumba(Wana rizki)
6.Mara nyingi utakuwa na furaha
7.watu wanaweza kusema umerogwa ila ukweli ni utampenda sana.
8.Utafanya mapenzi kwa wiki mara 3.
9.Nyumba itakuwa na amani sana.
10.Ndugu watakutembelea Kila mara.
KINYUME CHAKE
 
Watanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Yote haya ni kwa sababu ya ccm.

Wapumbavu wengi wakiwa maarufu na kupata uongozi huambukiza upumbavu wao kwa jamii nzima.
 
Ndiyo maana kuna watu waliona upuuzi tu kuleta nyuzi zao ambazo zilikuwa heavy.. Nakumbuka kina MALCOM LUMUMBA, Zitto Jr, FRANC THE GREAT, na jamaa kibao siku hizi kimya kabisa.
Nyinyi wote wawili hamna akili, jukwaa la MMU unataka hoja za katiba mpya?
 
Mkuu. We mwenyewe jiulize kwanini ulichagua jukwaa hili na si lingine.
Msimamo wangu bado ni uleule

"Leta Uzi wa kubadili mindset uone, maana lengo ni kuwafikia watu, sasa watu wasipou access....
Huo ndio ukweli, sema wa Tz kuambiwa ukweli hawataki. Raha Yao wadanganywedanganywe tu
 
Back
Top Bottom