tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Wanawake wote wanafanana mkuu. Akili zao wanaziJua wenyewe. Kikubwa tabia. Hayo mengine yote ni maua tu. Anaweza akawa na macho ya nyege lakini ukimpeleka kitandani hamna kitu. Usipime kina cha maji kwa miguu miwili.Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina
Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..
Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000
Asanteni
Cha muhimu mgegede kwa mwaka mmoja kwanza huku ukimsoma tabia. Kama anafaa ndio umuoe. Vinginevyo, utakuja kulia na kusaga meno. Utanishukuru baadaye.