Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

Watanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Ndio maana CCM watatuongoza kwa miaka mingi tu ijayo, hatuko serious na mambo ya msingi.
 
Kwahiyo tuongee chochote tu ili watu wakoment right? This shows how we are educated but still living in an ignorant society. Cha kwanza tubadilishe mindset zetu alafu utaona kila tunachofanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.
Siyo suala la mtu mmoja wala la mara moja. Ni suala la pamoja na mtambuka.
 
Kweli mkuu me ni moja ya mashuhuda wa hawa Nyirambanians from Singapore ๐Ÿ™Œ
 
unatoka Ndago? Shelui? Kisiriri? kiomboi? Iambi?
 
Kwenye Rasimu ya warioba tulipendekeza ipitishwe sheria mwanaume yeyote atakaeoa mwanamke wa singidani au wa kipare asimuite "mke wangu" amuite "mke wetu"
ndio ile unakuta kila siku ngumi yaani majirani ni kusuluhisha tuu. Unasikia katikati ya ugomvi mwanamke nasema kwa kinyiramba ,,owe mbwanewe untore umborage onilye na nama,, hawa ni wakorofi balla lakini pia wako mara mbili ukibahati ile aina yao nyingine mbona utafurahi na kujisifu unajua kuchagua mke.! We oa utajua huko mbele kwa mbele
 
Wana tabia za Kizanzibari
 
Mkuu wewe oa tu kama umeelewa jimbo. Hawa madem wa kileo hata hawasomeki kwa makabila
 
Picha yake...
 
Watanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Ndiyo maana kuna watu waliona upuuzi tu kuleta nyuzi zao ambazo zilikuwa heavy.. Nakumbuka kina MALCOM LUMUMBA, Zitto Jr, FRANC THE GREAT, na jamaa kibao siku hizi kimya kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ