BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hamna popote duniani ambako watu wanadiscuss mambo serious tu otherwise dunia ingejaa watu wenye sonona, presha na magonjwa mengine ya akili. Ndo maana hata leo ndani ya US kwenyewe tunakotegemea watu wako serious na maisha video ya wimbo wa Kim Jong-Un ni no 1 trending tik-tok kuliko maandamano ya kuwasapoti Palestina vyuoni.Ndio maana CCM watatuongoza kwa miaka mingi tu ijayo, hatuko serious na mambo ya msingi.
Kweli sura sio roho! 😆 unaniombea mabaya liveNakuoa mapema sana huku napiga chorus ya Z anto
Si sirii nakupenda binti kiziwiii🎶
Moyo wangu umeutekaaa binti kiziwii🎶
Kichwa kinauma mawazoo kwako binti kiziwii🎶
Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina
Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..
Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000
Asanteni
Maharage ya Mbeya..Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina
Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..
Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000
Asanteni
Kwani mi ndo sipendi rahaKweli sura sio roho! 😆 unaniombea mabaya live
Kwasababu tumejisahau na kadri tunavyoendelea kuwaajiri na kuwapa platform ignorant people for rating media house nchini maanake bila kutambua tunatengeneza njia ya watu kuanzisha na kuraise irrelevant discussions. And irrelevant discussions will always be a diversion from delicate issues. Na Hawa ignorant people/machawa wanafanya makusudi kuwapotosha watu kwaajili ya kuwafavour au kujipendekeza kwa viongozi. Angalia utitili wa vyombo cha habari na ratiba zao za week nzima🤣🙌Ndiyo maana kuna watu waliona upuuzi tu kuleta nyuzi zao ambazo zilikuwa heavy.. Nakumbuka kina MALCOM LUMUMBA, Zitto Jr, FRANC THE GREAT, na jamaa kibao siku hizi kimya kabisa.
Mkuu mbona umekata tamaa kiasi hicho?Mkuu wewe oa tu kama umeelewa jimbo. Hawa madem wa kileo hata hawasomeki kwa makabila
Kiukweli mkuu mm sioni kama makabila yana nafasi kwa sasa labda kama mtu yupo kijijini la kama mishe zako ni town, me huwa nawaona wote wanaswaga sawa tu kwa sababu ya umjini. Nadhani wa vijijini ndio watakua na zile tamaduni za kikabila unaweza chagua kulingana na kabila lake.Mkuu mbona umekata tamaa kiasi hicho?
KINYUME CHAKEWanyiramba kutoka singida mambo haya yatarajie kutoka kwake.
1.watoto watafanana nae
2.watoto watakuwa bright sana darasani.
3.Kama ni mkristo basi kanisani ni Kila jumapili
4.Hapo ni kufa na kuzikana Haina kuachana.
5.unaweza usiwe tajiri sana ila chakula hakitakosa ndani ya nyumba(Wana rizki)
6.Mara nyingi utakuwa na furaha
7.watu wanaweza kusema umerogwa ila ukweli ni utampenda sana.
8.Utafanya mapenzi kwa wiki mara 3.
9.Nyumba itakuwa na amani sana.
10.Ndugu watakutembelea Kila mara.
Yote haya ni kwa sababu ya ccm.Watanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Hapo ameandika mbele nyuma, nyuma mbele.Mkuu ni dada zako nini mbona umewamwagia maua hivi?
NB: Sina faili lao. Ila umenishawishi nifike singida [emoji16]
Nyinyi wote wawili hamna akili, jukwaa la MMU unataka hoja za katiba mpya?Ndiyo maana kuna watu waliona upuuzi tu kuleta nyuzi zao ambazo zilikuwa heavy.. Nakumbuka kina MALCOM LUMUMBA, Zitto Jr, FRANC THE GREAT, na jamaa kibao siku hizi kimya kabisa.
Inasikitisha classmateHii nchi ishakua na mambo mengi ya kipuuzi sana ☹️
Wanyiramba wa wapi wana meno ya floride Mkuu?Wanyiramba hawana asili ya weupe. Wao ni weusi wenye meno ya kuungua kama Wachaga wa kishumundu. Huyo atakuwa mnyaturu. Tatizo Lenu mnadhani Kila atokaye singida au Kondoa ni mnyiramba
Asante.Nyinyi wote wawili hamna akili, jukwaa la MMU unataka hoja za katiba mpya?
Ushataja 2000 kaa Mguu sawawaliozaliwa miaka hii ya 2000
Wiki Mara 3? Mboni KIDOGO8.Utafanya mapenzi kwa wiki mara 3.
Huo ndio ukweli, sema wa Tz kuambiwa ukweli hawataki. Raha Yao wadanganywedanganywe tuMkuu. We mwenyewe jiulize kwanini ulichagua jukwaa hili na si lingine.
Msimamo wangu bado ni uleule
"Leta Uzi wa kubadili mindset uone, maana lengo ni kuwafikia watu, sasa watu wasipou access....
WoteWanyiramba wa wapi wana meno ya floride Mkuu?