Tabia za mwanaume mwembamba

@joline upite huku
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanene wazito kufikiri japo wengi wao wana mioyo mizuri sana, ni watu wa kucheka kila wakati
Kuna kipindi nilikuwa na kiimani cha kizushi, mtoto akiwa mnene nilikuwa siamini kama ana akili vizuri, au mtoto kibonge kabisa huyo nilimuona ndo hamnazo kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] sijui nilikuwa na "body phobia"(sio rasmi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipokuwa unasoma ulikuwa mvulana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As u have read my mind,,yaani nipo hivohivo kwa asilimia kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…