Tabia za mwanaume mwembamba

Tabia za mwanaume mwembamba

frenderPH,

♧ Huwa si wachoyo wa elimu ya mafanikio kwa watu wanaowazuguka..

♧ Siyo watu wa show off.

♧ Low profile type.

♧ Hawapendi kuwa karibu na watu ambao hawako straight kwenye maswala yao.

♧ Wanapenda muonekano na kutoka na body structure yao huwa wanapendeza wakitupiamo viwalo

♧ Huwa ni wakimya kiasi hupelekea watu wengine kuwaona kama ni watu flan wanaojisikia sana..

♧ Siyo watu wenye marafiki wengi ila mkishakuwa marafiki bas huo urafiki hudumu kwa muda mrefu sana..

Sent using Samsung S6 Edge
Duuuh, kwa nyongeza hii nakupa 'salut'T'mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakupa asilimia 95 wew ni mnajimu mzuri.
Hakuna unajimu hapo mara anasema ni wajasiri lakini pia huwa waoga. Wana upendo harafu tena wana hasira. Wanapenda kutafuta mafanikio lakini poa wanakataa tamaa. Hizi ni sifa za kila mtu. Utabiri wa nyota kama wa shkhe Yahya Nb: mimi pia ni mwembamba.
 
Back
Top Bottom