Tabia za mwanaume mwembamba

Aisee we umeongeza maujuz zaid nakubaliana na hoja zote ndo sifa zetu Kama nasemwa mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sahihi,kwani wapo wanene na wanatabia zote hizo tena na viji ziada vyake hadi wapenzi wao hushangaa kwa wanavyo aminishwa na wengine.Tabia hazitegemei umbo,sababu hata wanene walikuwa wembamba.Ni mawazo yangu tu usinune.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…