Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Unaongelea nini? PSPA imeingiaje hapa??
Hujaona ni miongoni mwa course za arts anazoongelea mleta mada au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongelea nini? PSPA imeingiaje hapa??
Hujaona ni miongoni mwa course za arts anazoongelea mleta mada au?
Sijajua ni ukichwa maji au ni kitu gani. Mtoa mada amesema watu waliosoma sayansi hawanaga tabia za ajabu ukilinganisha na wale waliosoma arts mfano hao PSPA. Au mtu akisoma college hii hakutani na watu wa college nyingine kiasi cha kutowajua??? I.d.i.o.t
Hii ni massage sent... imekufikia
Sijasoma chochote...zaidi ya vitabu vya hadithi
Sio vya kuiga wala tabia nilizo taja hapo sijasema za kuigwa halafu kumbuk sijasema science hawafanyi,wanafany lkn kwa kiwango kidg ukilinganisha na arts
Sasa mm niwakimbie waimba taarabu wa nini....ukweli utabaki pale pale
Sio vya kuiga wala tabia nilizo taja hapo sijasema za kuigwa halafu kumbuk sijasema science hawafanyi,wanafany lkn kwa kiwango kidg ukilinganisha na arts
Nilikuwa sijui kumbe physics na chemistry nazo ni arts...
Bila shaka unatafuta bwana wewe...
utafiti wako umejumuishasampuli kiasigani hadi ukaja na jumuisho la jumla.
Jamani kwani we huoni kama huoni nenda hata vyuoni humo one week utajua tu
Nitaenda vyuo vinavyotoa fani za ARTS siku mmoja nikajiridhishe.