ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
- #61
nakubaliana na hoja ya mleta mada
Hawa si wabishi sanaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakubaliana na hoja ya mleta mada
ukweli mtupu huu japo wanapinga
Huu ndio uchochezi tusioutaka. Be responsible with your keyboard chief.
#Ngoja nikuitie wenyewe usikimbie tu....
Remote Darius Excel Advocate J Perry Deo Corleone Munkari miss chagga geniveros Mrembo by Nature Evelyn Salt grafani11 asakuta same
et al Kujeni tafadhali kuna mtoto katoroka shule huku kaja kuchokoza wakubwa...
WANAFUNZI WANAOSOMA MASOMO YA ARTS
Nikiwa kidato cha pili nilikuwa nikiona na kujua nini kidato cha 3 wanafanya walikuwa na tabia za ajabu na makosa mengi mengi tuu sasa ilikuwa
kila ayepewa adhabu either ya kusimamishwa masomo kwa muda au kufukuzwa kabisa au adhabu mbali mbali ilikuwa ni wale walio opt masomo ya physics,chemistry
na walikuwa wanajulikana kama WANAO SOMA MASOMO YA ATRS
Pamoja na science yako uliyosoma na unajisifu kabisa lakini hujui umuhimu wa utafiti.kwa ninavyoona umesoma shule zenye tabia za vurugu na isitoshe hata wazazi wako pia watakuwa wamesoma arts ndio mana imekuwa rahisi kwako kuja na kautafiti kako uchwara.
Pole kwakuwa hata science uliyosoma haijakusaidia.
Ngoja nikuitie wenyewe usikimbie tu....
Remote Darius Excel Advocate J Perry Deo Corleone Munkari miss chagga geniveros Mrembo by Nature Evelyn Salt grafani11 asakuta same et al
kujeni tafadhali kuna mtoto katoroka shule huku kaja kuchokoza wakubwa...
Dogo Ndio Kamaliza Form4 Huyo Mimi Namsubiria Mwakani Siku Matokeo Yakitoka Nitakuwa Wa Kwanza Kumkumpa Taarifa