Tabia za wanafunzi wa Arts

Tabia za wanafunzi wa Arts

Waliosoma arts wengi wao wana kihere here saana,na wana inferiority complex!huwa wanataka kujionesha kuwa wanajua!wanataka kudominate mazungumzo,wengi wanapenda kujiaminisha kuwa wangeweza kusoma sayansi kama wangepata walimu wazuri!
 
thread yako ina kera mno, na ndiyo maana na science zenu mmekosa tija na hadhi mbele ya taifa kila na ndiyo maana kila tender hapa anapewa mchina coz hamna maadili.

Angalia wanasayansi wetu walipotufikisha.....yaan shida tupu. Dizain km za kina mhongo nao ni wa kujivunia?
 
Utafiti wa kitoto kabisa kupata kutoke miaka ya hivi karibu.. Utafiti mbaya na uongo kabisa. Sidhani kama tanzania kuna watu nao wanajiita wanasoma sayansi.. Jipange tena dogo..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mi niliposoma olevel walimu wa sayansi ndio walikuwa vimeo balaa,yan pombe na wao ni damu damu eti wanadai wanastua mzuka na ndio waliokuwa wanaongoza kwa kufukuzwa kazi maana ile shule ilikuwa ya private.

Afteral huwezi kulinganisha kundi la wengi na wachache,lazima hao wengi wataonekana washindi.

Hebu nenda vyuo vya afya uone maovu yanayotembea huko, hizo ni tabia za watu na huwezi zibadili.

Sociologically,tunaambiwa ht hizo neg behaviours (dysfunctional) zina umuhim sn ktk jamii kwsbb zinatoa mchango chanya kwenye jamii.........

wataalamu wa behaviur change watanisaidia pia km nimekosea,lkn kuna mtaalam wa tabia anasema hatuwezi kubehave in the same manner (the good one) kwsbb tumetoka ktk origin tofauti na tabia ya mtu huwa iko biologically inheritage.

Kwhy mdogo wangu kukaa unajadili tabia za watu hapa ni kupoteza muda tu,cha muhimu zaidi tafuta vitabu vinavyohusu mambo ya tabia. Ukishasoma na ndio utakuwa na wigo mkubwa wa uelewa wa mambo hayo.
 
Kwahiyo wewe na PSPA yako unakubali kwamba Una shida?

Yan we mpuuzi kweli nani amekwambia mi nimesoma hiyo?? Na hata kama nimesoma hiyo,mimi sina shida ila natambua kuwa kwenye kada yangu kuna shida
 
danya

Nafikiri mtoa mada ulishawajengea negative parception watu wa arts ndo mana unatokwa na povu hapa,hivi nani aliyekwambia watu wa sayansi hawana matatzo kbao, kwanza science ndo walev,wavuta sigara wengne ndo vchaa kabisa, ndo mana wapo madaktari wengi hawafanyi kaz pasipo kutumia vilevi ama bangi,

Ukija chuon unaona arts ni weng matatzo lakn unasahau kuwa most of the majority ni arts, so ukiona wascience 5 wanatabia mbovu basi jua kwa ratio ya arts ni sawa na % kubwa tu.kingne viongozi unaosema wengi ni wala rushwa ni kwasababu ndio wengi wanaongoza ndio mana rahis kuwaona,hata hvo na akna Muhongo n.k nao vp wamesoma art?

Mbona ndo mafisadi wakubwa!.hvo tambua tabia ya m tu ni asili yake wala sio Arts au science .kwanza hata walimu hv uliwah linganisha namba yao kati ya wa arts na science?je km science wapo 5 na arts 25 na kati yao science 2 wana tabia mbovu na arts pia km 7 wanatabia mbovu,kuna unafuu apo?jipange umekua lakini bado ujaona,kama usemavyo msemo uloutanguliza.
 
Last edited by a moderator:
Waliosoma arts wengi wao wana kihere here saana,na wana inferiority complex!huwa wanataka kujionesha kuwa wanajua!wanataka kudominate mazungumzo,wengi wanapenda kujiaminisha kuwa wangeweza kusoma sayansi kama wangepata walimu wazuri!

hvi wote tungesoma science unazani ingekuwaje? maisha ni kuchagua kipi unapenda afu tambua sio kila asomae arts ukajua alifeli hayo masomo ya science wapo ambao wameenda advance wakiwa science wamepga na hata B,lakni wakaenda soma HGL n.k

Nawewe unakuta kwenye comb una C,C D,afu unaleta majigambo kwamba wewe ndo kchawa?binafsi nmesoma HGL lakn najua kudeal na vtu vya electronics through practical na najua mahesabu vzur tu ya kielectronic kuliko ww unaleta tv, sabufa, sim nk kwangu uku naww umesoma PCM inakusaidia nini sasa,

Hata nkikwambia transitor ndo ip kweny circuit huiju i unajua tu michoro ake!duu pole yenu mimi napga sana hela za wanaojita science.
 
danya

Nyerere alisoma art, Warioba alisoma art, Mwakyembe alisoma art, Muhongo kasoma Science, Mbowe alisoma...... Cjui art au Science
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe asilimia mia nane na kuna explanation behind hizo tabia za hao jamaa. Unajua science ni very interesting ndio maana wanafunzi wa sayansi hawawezi kuwa na hizo tabia kwa sababu muda wote wanakuwa wanawaza kusolve issue flani ya kimasomo au kifani.

Sayansi ni very challenging, ndio maana wahusika muda wote wanastrive kupambana nazo. As for ARTS, unaweza ukalala ukaamka asubuhi ukapitia kitabu kiduchu na ukaingia kwenye mtihani. Ndio maana wanapata hata muda wa kufanya madudu mengine. Ni mtazamo tu, masela msijenge chuki!!!
 
hvi wote tungesoma science unazani ingekuwaje?maisha ni kuchagua kipi unapenda!afu tambua sio kila asomae arts ukajua alifeli hayo masomo ya science wapo ambao wameenda advance wakiwa science wamepga.

Na hata B,lakni wakaenda soma HGL n.k nawewe unakuta kwenye comb una C,C D,afu unaleta majigambo kwamba wewe ndo kchawa?binafsi nmesoma HGL lakn najua kudeal na vtu vya electronics through practical

Na najua mahesabu vzur tu ya kielectronic kuliko ww unaleta tv,sabufa,sim nk kwangu uku naww umesoma PCM inakusaidia nini sasa,hata nkikwambia transitor ndo ip kweny circuit huiju i unajua tu michoro ake!duu pole yenu mimi napga sana hela za wanaojita science.

Essay utakua ulikuwa unaenda op sanaaaaa angalia ulicho andika na kinacho zungumziwa mm sitaki kuzungumzia matokeo ya mtu au kazi gani unafanya swala ni tabia mkuu we umesoma history gani.
 
Mh, hii thread nimeielewa...., danya nae kakomaa hataki kuwaelewa wakubwa, wakubwa nao wamekomalia dogo hapa kazi ipo..., Ila mwisho wa siku mwenye kufahamu ukwele ataufahamu tu awe science au Art.
 
Tunataka tafiti zenye maana.. Unakuja na uzi kama huu ili iweje baada ya sisi kusoma ?? None sense kabisa..
 
Dogo acha umbufi huo.
Lazima unawashwa huwezi andika upuuzi km huu ikiwa uko vizuri
 
We nenda then utakuja niambia tembelea vyuo vyote arts and science den angalia au chuo kimoja tu mfano udsm angalia arts na science

Unaposema arts unamaanisha nini? na unaposema Science unamaanisha nini, Udsm hawana kitu hicho unachosema, Halafu PSPA, Sociology, Economics, BAGEN, etc si Arts, ni Social Science, maana najua ndio wanaotesa hapo mjini...

sasa nakuja kwenye swali kuu...

Shule kama Tosa Maganga, Iyunga, Rungwe, Ifunda Tech, Njoss, Lyamungo, Tabora, Mirambo na shule nyingine zilikuwa vinara wa vurugu na wanywa gongo miaka kibao na ni hao hao wanaosoma Physics, Chemistry, Biology na Hisabati, hao unawazungumziaje?....

Any way umetumia Sampuli aina ipi na kiasi kugeneralize huu utafiti wako? pia njia gani ulitumia kucollect data zako?

Usipojibu vizuri hayo maswali basi itupie kwenye dustbin ya Twaweza....

BTw.....Mkopo umepata? maana nmeskia first year wengi mmekosa mkopo....
 
Back
Top Bottom