Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Mimi tabia yangu sijaficha, nime post... Kilevi aka kimea ni tatizo kubwa sana kwangu
 
Mimi tabia yangu sijaficha, nime post... Kilevi aka kimea ni tatizo kubwa sana kwangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii inazungumzika kuna zile inborn...! Kwa mfano hivi kweli unaweza kumwambia shem kwamba una kaugonjwa kakupenda kupiga chabo? [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu roho ya kishetani ndo ikoje na utaitambuje
 
Ila wewe Mnyanki mbishi kimtindo. Kwa hiyo am in...

Bora umechoka mapema ili upunguze competition hata.

Back to the topic,
Kwa kweli mimi haya nayaona kama vile ni hadithi tu kwangu, nikiamini kabisaaa kuwa kila mtu lazima awe na katabia fulani ambacho hukapendi, ila kama uliweza kuiona na ukaendelea naye hadi mkafikia ndoa basi hilo jaribu wewe unaweza kulishinda. si unaona hata umekuwa na ujasiri wa kusonga nalo mbele?
Hayo unayoyaona kama mapungufu utakuja kuona kama kumbe yalikuwa madogo tu ukimwachia akaondoka, utajikuta unatengeneza benchmark kila unapokutana na mwingine ukilinganisha na aliyetangulia unaona afadhali ya jana kuliko leo....

Shika sana ulichonacho, chondechonde tusitumie saaaana nguvu nyingu kutafuta mapungufu ya wenzetu. Bali tutafute zaidi mazuri yao, kwani mazuri yakiwa mengi yanaweza kuyashinda hayo mapungufu automatically

Pendaneni salama.
 
Ndo ujue watu wanamuhitaji Bwana Yesu awaokoe, awatakase na kuwafungua na vifungo hivyo kabla na baada ya ndoa, kwa akili ya kibinadamu huwezi kumjua mwenzi wako, bali kwa mafunuo ya Roho Mtakatifu utaweza, na ukishamjua utajua how to deal with their weaknesses positively badala ya kutumia madhaifu ya mwenzako kumtenga na kumsimanga na kumfanya apotee zaidi. Kama ukishindwa kumsaidia/ku deal na udhaifu wa mwenzako, HATA WEWE UTAKUWA NA MADHAIFU KIBAO ULIYOFICHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…