Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
HapanaUmeolewa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaUmeolewa??
Unasubiri nini?Hapana
Nasubiri kuolewaUnasubiri nini?
Mimi sijaoa, tuna_match.Nasubiri kuolewa
Teh tuna_match nini?Mimi sijaoa, tuna_match.
Nyumbani wapi? Tukuyu, Kyela au Mbalizi. Nataka nianze mchakato kabisa.
Vingi tu, upendwa, mawazo nk. Halafu una maswali mengi[emoji15]Teh tuna_match nini?
Maswali si nataka kujua jamani, ramani itakuja baadayeVingi tu, upendwa, mawazo nk. Halafu una maswali mengi[emoji15]
Nipe ramani kama nilivyouliza beibe
Nimeshakujibu mbona?!! Labda kama umeamua kufanya figisu!Maswali si nataka kujua jamani, ramani itakuja baadaye
Aah kila kitu nashughulikia mwenyeweNimeshakujibu mbona?!! Labda kama umeamua kufanya figisu!
Naomba ramani nk babe
Ila wewe Mnyanki mbishi kimtindo. Kwa hiyo am in...Aah kila kitu nashughulikia mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii inazungumzika kuna zile inborn...! Kwa mfano hivi kweli unaweza kumwambia shem kwamba una kaugonjwa kakupenda kupiga chabo? [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Mimi tabia yangu sijaficha, nime post... Kilevi aka kimea ni tatizo kubwa sana kwangu
Mkuu roho ya kishetani ndo ikoje na utaitambujeBinadamu ana hulka ya kutosema ukweli....hulka ya kutosema mabaya/madhaifu yake![]()
Wengi wetu huvutiwa na lugha za watu hasa mnapoonana kwa mara ya kwanza
Mapenzi kabla ya ndoa si kipimo halisi cha tabia utakazokutana nazo ndani ya ndoa hasa mihemko na Masham sham vinapoisha
Uwe makini na kuwa tayari kukabiliana na ukweli mchungu kuwa yule kabla ya ndoa hawezi kwa asilimia mia kuwa huyu baada ya ndoa
Hizi tabia hazionekani mapema bali hujifunua taratibu kadiri muda na kuzoeana kunapoongezeka..na hii yaweza kuchukua hata miaka
Watu wengi sana wameshindiwa hapa kwamba yule mtu uliyempenda na kumwamini sana kumbe ni
Mlevi mbwa
Malaya kupindukia
Mnafiki sana
Muongo
Bahili
Ana roho mbaya
Mbinafsi
Mchonganishi
Kigeugeu nknk
Ndani ya mahusiano ya muda mrefu ndio tabia kama hizi hujifunua, ni ngumu kwa baadhi ya hizi tabia mtu kusema ukweli wake ni ngumu sana
Moyo wa mtu ni kiza kinene sana, wengi wetu humu tuko kwenye mahusiano ya kindoa au kimapenzi tu, wengine wameshatendwa na wanaugulia maumivu
Jiepushe na maumivu jiepushe na kuvunjika kwa mahusiano kwasababu kuna gharama zake kubwa tu...imagine una invest muda raslimali na hisia zako kwa mtu kwa zaidi ya miaka mitano halafu unaishia divorce...!!! Gharama na hasara si haba
Tambua kwamba kuna tabia za kuchukiza na pengine zisizovumilika.. jiandae kuzikabili na kuzikubali.. .. hakuna mkamilifu kila mwanadamu ana roho ya kishetani ikiwemo WEWE[emoji12] [emoji15] [emoji23]Asikudanganye mtu kuwa hizo tabia zinarekebishika, huko ni kujidanganya na kujitafutia maumivu zaidi![]()
Sasa ndo ulimaanisha kila mtu anayo hiyo nguvuNguvu yoyote yenye matendo hasi
Ila wewe Mnyanki mbishi kimtindo. Kwa hiyo am in...